Yeye si mtu muhimu chamani wala serikalini. Hana 'influence' za kiuongozi hadi azushiwe. Ni mtu mdogo sana nchi hii. Habari ya kufumaniwa kwake yeweza kuwa imekosewa kuwa amejeruhiwa. Lakini,kufumaniwa kwabaki. Hana heshima kubwa nchini ili kumwinda kwa uzushi. Asifungue tena mdomo wake...
pole kiongozi. Ulipitwa na maajabu. Kulikuwa na fisichawene na simbachawene tukashidwa kuwatofautishahebu weka kitu kizima wengine ndo tunaingia jf tulikuwa mbali. Amefanya kama ya mwigulu nchemba?
mwenye hoteli:kigogo wa serikali kafumaniwa na mke wa askari
Kigogo wa serikali:sikufumaniwa mimi ila ni mtu mwingine
Polisi:hakuna tukio kama hilo limetokea katika hotel hiyo
labda tumuulize na Rais labda yeye amepewa information nyingine
Wewe amekuacha kweli?
pole kiongozi. Ulipitwa na maajabu. Kulikuwa na fisichawene na simbachawene tukashidwa kuwatofautisha
Mods. wameuondoa.........!!Nipe link ya huo mchanganyiko...........
Mods. wameuondoa.........!!
Sante kalesa......twachilee uuchi na koyo..!!Taitu kalesa.........nataizya
Yeye si mtu muhimu chamani wala serikalini. Hana 'influence' za kiuongozi hadi azushiwe. Ni mtu mdogo sana nchi hii. Habari ya kufumaniwa kwake yeweza kuwa imekosewa kuwa amejeruhiwa. Lakini,kufumaniwa kwabaki. Hana heshima kubwa nchini ili kumwinda kwa uzushi. Asifungue tena mdomo wake...