Badala ya kuwashauri wakaze buti katika masomo yao ili waje kuwa na maisha yao, unawashauri wakaze buti kushabikia wanasiasa wanaonufaisha matumbo yao. Kweli mpo mnaotumia masaburi badala ya ya kichwa.Ongereeeni saaana Vijana kazeni buti
Hawa ni Watu wazima. Kuwashauri kuhusu shule ni sawa na kumshauri mtu ale chakula. Acha Ushamba wewe. Hata sisi wengine tumepitia huko huko na tulikuwa Wanaharakati na tumetoka na degree zetu safi.Badala ya kuwashauri wakaze buti katika masomo yao ili waje kuwa na maisha yao, unawashauri wakaze buti kushabikia wanasiasa wanaonufaisha matumbo yao. Kweli mpo mnaotumia masaburi badala ya ya kichwa.
Badala ya kuwashauri wakaze buti katika masomo yao ili waje kuwa na maisha yao, unawashauri wakaze buti kushabikia wanasiasa wanaonufaisha matumbo yao. Kweli mpo mnaotumia masaburi badala ya ya kichwa.
Fanyeni kilichowapeleka chuo.
sasa mtoto wa 1st year aanze kushabikia siasa ..... atafika mbali kweli ... siasa ni dirty game ... mi na washauri wapige kitabu uchaguzi ukifika wafanye maamuzi sahihi
wote tumewamark wataungana na kina mwakibinga muda si mrefu
Chuo kikuu si mahala pa kujifunza tu yale yaliyoandaliwa kwenye mtaala.Badala ya kuwashauri wakaze buti katika masomo yao ili waje kuwa na maisha yao, unawashauri wakaze buti kushabikia wanasiasa wanaonufaisha matumbo yao. Kweli mpo mnaotumia masaburi badala ya ya kichwa.
sasa mtoto wa 1st year aanze kushabikia siasa ..... atafika mbali kweli ... siasa ni dirty game ... mi na washauri wapige kitabu uchaguzi ukifika wafanye maamuzi sahihi
Mkuu hapo umepotoka, hivi ni kweli mtu mpaka anakwenda chuo kikuu bado atakuwa mjinga kiasi cha kukumbuswha wajibu wake? Hii ilikuwa zama za long time sana watu wanasomeshwa na vijiji nya ujamaa. Wakati sisi tunaingia first year tulikuwa na watu wazima kibao na mmoja alikuwa mfanya biashara maarufu mwenye utajiri mwingi tu sasa sijui huyu utamshauri nini maana maisha anyajua vizuri na amekuja kuongeza ufaha tu binafsiBadala ya kuwashauri wakaze buti katika masomo yao ili waje kuwa na maisha yao, unawashauri wakaze buti kushabikia wanasiasa wanaonufaisha matumbo yao. Kweli mpo mnaotumia masaburi badala ya ya kichwa.