Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,870
Inasikitisha sana waTZ kukosa Uzalendo kwa kurelate kila kitu cha taifa na CCM.JE ungeupigia na ukashinda na Chadema wakichukua hatamu za hii nchi bado mlima utakuwa CCM? Acheni usiasa mavi huo mnahukumu hata vitu visivyo na uhai kwa kumix na siasa.VITU VINGINE NI VYA KISIASA NA VINGINE VYA KITAIFA amkeni.Mi mwenyewe nimechoshwa na serikali yangu lakini sio kwa kipimo cha kupelekea kushindwa ku contribute mambo ya ujenzi wa taifa langu.