Hivi Ethiopia wana tanzanite,ama almasi..,aahh labda dhahabu..,gesii...,mbuga za wanyama..,
Amakwelii.....
Tunabidi kuomba ama kutumia akili za majirani zetu sasa....
WABABA TUNASEMA........
1. "Ni afadhali kuwa na jeshi la kondoo linaloongozwa na Simba, kuliko jeshi la simba linaloongozwa na kondoo." *Napoleon_Bonaparte.*
2. "Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake." *George_Patton.*...
WABABA TUNASEMA........
1. "Ni afadhali kuwa na jeshi la kondoo linaloongozwa na Simba, kuliko jeshi la simba linaloongozwa na kondoo." *Napoleon_Bonaparte.*
2. "Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake." *George_Patton.*...
Hapa ndipo naipenda nchi yangu tanganyika na muunganiko wake zanzibar,hivi kwa maswali ya namna hii muulizaji unategemea majibu ya wejee.....
Kama ni Nyeti umeshika pabaya munooo...
Mbona maneno ya kawaida hayo kwan alikuwa hajui.....,
Akawaulize wa maasai(legwanani..)wanajua suala hili kwa mfano hai kabisaa
Alaf watanzania tupende utalii wa ndani tutafaidi sana
Ninacho uliza ni "wewe ni nani kujiona mkamilifu mubashara na kumuona mwingine si mkamilifu,nani kakupa mamlaka ya kuhukumu...
Je wanadam wote tu na safari moja..(kufa)
Iweje leo tufikie mahali tu hukumu...
Tukumbuke hata Yesu alipokuwa Msalabani mda mfupi kabla ya kukata Roho alimwambia mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.