Recent content by nyokamwenye makengeza

  1. N

    Suala la Tanzania na Kenya, mahusiano mazuri siyo sababu ya kutoheshimu sheria za nchi nyingine

    Povu lina kutoka kwa nini tuliza mshono,hayo ni maneno tuu na vitendo vitafuata... bado kitambo kidogo atajulikana nani mpuuzi....
  2. N

    Tanzania yatabiriwa makubwa kiuchumi

    Hivi Ethiopia wana tanzanite,ama almasi..,aahh labda dhahabu..,gesii...,mbuga za wanyama.., Amakwelii..... Tunabidi kuomba ama kutumia akili za majirani zetu sasa....
  3. N

    Kweli nimemkubali John Pombe Magufuli kwa kurudisha heshima nchini

    WABABA TUNASEMA........ 1. "Ni afadhali kuwa na jeshi la kondoo linaloongozwa na Simba, kuliko jeshi la simba linaloongozwa na kondoo." *Napoleon_Bonaparte.* 2. "Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake." *George_Patton.*...
  4. N

    Mwanaume jina nimfanyeje?

    WABABA TUNASEMA........ 1. "Ni afadhali kuwa na jeshi la kondoo linaloongozwa na Simba, kuliko jeshi la simba linaloongozwa na kondoo." *Napoleon_Bonaparte.* 2. "Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake." *George_Patton.*...
  5. N

    Mrejesho wa Albadiri

    Singida ila kwa siri sanaaaa
  6. N

    Jina lako la kichawi

    Mshana em ni juze first letter of my first name niB,na last letter of the last name ni E haapa inakuwa jee
  7. N

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Hapa ndipo naipenda nchi yangu tanganyika na muunganiko wake zanzibar,hivi kwa maswali ya namna hii muulizaji unategemea majibu ya wejee..... Kama ni Nyeti umeshika pabaya munooo...
  8. N

    Nimekuelewa Kipanya

    Mbona maneno ya kawaida hayo kwan alikuwa hajui....., Akawaulize wa maasai(legwanani..)wanajua suala hili kwa mfano hai kabisaa Alaf watanzania tupende utalii wa ndani tutafaidi sana
  9. N

    Ufafanuzi kuhusu kanisa Katoliki kutokuwafanyia maziko ya kikanisa baadhi ya waamini wake

    Ninacho uliza ni "wewe ni nani kujiona mkamilifu mubashara na kumuona mwingine si mkamilifu,nani kakupa mamlaka ya kuhukumu... Je wanadam wote tu na safari moja..(kufa) Iweje leo tufikie mahali tu hukumu... Tukumbuke hata Yesu alipokuwa Msalabani mda mfupi kabla ya kukata Roho alimwambia mmoja...
Back
Top Bottom