Habari zenu wana jamvi, kuna kisa kinanichanganya naombeni ushauri wenu.
Kuna rafiki yangu amekua na boyfrend huu ni mwaka wa 9 ni tangu wako chuo shule. Walivyomaliza shule mdada akapata kazi nzuri tu na mkaka amekaa sana kitaa ila kwa sasa amepata kazi wizara moja serikalini.
Tofauti iliyopo ni huyu dada ana hela nyingi sana kumpita mkaka, mdada ana gari ni mwaka wa tatu huu lakini mkaka bado anaswampa kwa miguu.
Tatizo ni huyu kaka amekua haoneshi dira yoyoye ya uhusiano wao. Mdada amedai ndoa mpaka amechoka.
Miezi mi4 au 5 iliyopita mdada akapata ujauzito mkaka hayuko tayari kwenda kujitambulisha kwa kina mdada wala kumtambulisha mchumba kwao.
Haoneshi dalili zozote za kutaka kuachana, ila inapokuja suala la ndoa hasemi kitu, wanaweza wakapanga siku ikifika mkaka anakua busy.
Toka mdada apate mimba mkaka hajawai kuchangia hata sh.10 ya matunda kwa mdada tho mdada anajiweza haitaji hela.
Suala inakuja pale mdada haelewi je aachane na huyu mkaka asonge na maisha yake au aendelee kumsubiria siku asiyoijua?
Au amlazimishe kumuoa kwa nguvu? Amvute kumpeleka kwao? Ndoto za mkaka ni kununua gari na vitu vidogo vidogo but sio kua na familia coz haoneshi utayari wowote.
Umri wao ni miaka 27 kwa 29 mkaka.
Ushauri wenu wakuu
Kuna rafiki yangu amekua na boyfrend huu ni mwaka wa 9 ni tangu wako chuo shule. Walivyomaliza shule mdada akapata kazi nzuri tu na mkaka amekaa sana kitaa ila kwa sasa amepata kazi wizara moja serikalini.
Tofauti iliyopo ni huyu dada ana hela nyingi sana kumpita mkaka, mdada ana gari ni mwaka wa tatu huu lakini mkaka bado anaswampa kwa miguu.
Tatizo ni huyu kaka amekua haoneshi dira yoyoye ya uhusiano wao. Mdada amedai ndoa mpaka amechoka.
Miezi mi4 au 5 iliyopita mdada akapata ujauzito mkaka hayuko tayari kwenda kujitambulisha kwa kina mdada wala kumtambulisha mchumba kwao.
Haoneshi dalili zozote za kutaka kuachana, ila inapokuja suala la ndoa hasemi kitu, wanaweza wakapanga siku ikifika mkaka anakua busy.
Toka mdada apate mimba mkaka hajawai kuchangia hata sh.10 ya matunda kwa mdada tho mdada anajiweza haitaji hela.
Suala inakuja pale mdada haelewi je aachane na huyu mkaka asonge na maisha yake au aendelee kumsubiria siku asiyoijua?
Au amlazimishe kumuoa kwa nguvu? Amvute kumpeleka kwao? Ndoto za mkaka ni kununua gari na vitu vidogo vidogo but sio kua na familia coz haoneshi utayari wowote.
Umri wao ni miaka 27 kwa 29 mkaka.
Ushauri wenu wakuu