Recent content by nyokaa

  1. nyokaa

    Msaada, nahitaji kuagiza pikipiki aina ya honda adv 2021

    Mkuu naomba nisaidie hizo namba mwishoni mwa wiki hii niruke huko Z'bar
  2. nyokaa

    Msaada, nahitaji kuagiza pikipiki aina ya honda adv 2021

    Habari wakuu! Mwenye kujua website au page za watu wanao deal na kuagiza pikipiki nje anisaidie, nahitaji kuagiza Honda Adv ya 2021
  3. nyokaa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi hiyo 22 kwa Primiere inamaanisha nini, mgeni aongoze vipindi vyote au ni nini??
  4. nyokaa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu hiki kifurushi bado kipo?
  5. nyokaa

    Tovuti za kununua bidhaa za Simu na Laptop Dubai na Thailand

    Habari WanaJF! Naomba kusaidiwa Tovuti zitakazo niwezesha kufanya manunuzi ya bidhaa Mtandaoni (Phones & Laptops) hasa katika hizo Nchi za Falme Za Kiarabu na Thailand. Asante Sent using Jamii Forums mobile app
  6. nyokaa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nikitulia Nitawaletea Story Haina Hata Wiki Mbili Jinsi Nilivyopiga Demu Wa Ofisini Kwetu Kwa Ajiri Ya "WAXING HEATER (Air Remover)
  7. nyokaa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kama Alipewa Mualiko wa Ndoa Basi Kashasoma hii Code mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
  8. nyokaa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sometime Kuishi na mabrother hiv home alaf unademu mkali jau sana maana bro alikuwa akimsifia demu wang mara kwa mara "mdogo wangu una demu mkali kinomaaa yani kwa kazi hii jipige kifua sema wewe ni mshindi" Baada ya muda kidogo si akamtafuna asee alaf nilipogundua akaniambia mdogo wangu...
  9. nyokaa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Lete Email nikutumie App
  10. nyokaa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hili ni Tank la mafuta
  11. nyokaa

    Biashara ya madini ya dhahabu

    Dhahabu Huwezi Jifunza Mtandaoni Njoo Huku Kahama Kakola Ujifunze, Wakati Naanza Niliwahi Kuuziwa Dhahabu Ambayo Katikati Ina Golori Y Baiskeli, Hii Kitu Sisahau Ila Nilijifunza Pia Nishapoteza Pesa Nyingi Sana Kwenye Kununua Mifuko Mihaloni Ila Sasa Hiv Nadeal na Karasha Zangu Nasubir Kwenda...
  12. nyokaa

    Kikosi bora kabisa cha wakati wote (bush Stars)

    [emoji23][emoji23][emoji23]Hao Wamba Nakumbuka Mpaka Sub Zao Asee! Waliosimama Kutoka Kushoto ni: Komred Kipepe (nahodha msaidiz), Kaisi, Kibinde, Hui Hui (mwenye kofia kama Crown), Kobelo na Striker Wao Machachali Mzee Meko(mwenye shati ya Madoa) Waliochuchumaa Kutoka Kushoto ni: Kashe...
  13. nyokaa

    Harmonize in WCB

    Katika mademu wanao imba bongo kwa sasa hakuna hata mmoja anamfikia Ruby na anakuwa nyoko zaid akipiga live wee ni zaid ya hatar
Back
Top Bottom