Recent content by nyikila

  1. N

    Msaada kwa walokole juu ya mahusiano kwa huyu msichana nimpendae

    huo ni uongo Mkubwa,kama uliwataka wadada waliosimama ktk imani wakakutolea nje ndo maana unasema hivyo msichana alieokoka kweli hawezi kufanya uasherati na mwanamke liyeokoka lazima atampenda na kumtii mume wake kama neno linalovyosema,narudia Husipotoshe watu huenda. umekutana na kimeo Sent...
  2. N

    Kutana na dalali wa nyumba Dar es Salaam

    fisi 2 uko sahihi kuhoji mi nawachukui hawa wanaofanya utapeli hali ilivyo ngumu yaani ndugu yangu huyo alivyotapeliwa inauma,alafu wanabadilisha namba za simu kila siku ni wako na Kupatana ,nawatahadharisha ndugu zangu
  3. N

    Kutana na dalali wa nyumba Dar es Salaam

    jaman kuweni makini kuna ndugu yangu kachukua contact za dalali humu humu ,dalali kamuunganisha na mwenye Nyumba feki,Nyumba ziko kimara korogwe ,amelipa kodi miezi sita siku ya kuhamia mwenye Nyumba na dalali hawapokei simu. wanamhusisha mwanamke eti ndo mamamwenye Nyumba ni mmama MTU mzima...
  4. N

    Tanzania sasa inahitaji Katiba mpya kuliko muda wowote ule!

    heshimu mamlaka iliyopo huwezi kumsema rais hivyo kama ni ushauri peleka sehemu husika
  5. N

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo azindua miradi ya Maendeleo

    naunga mkono. mkuu wa mkoa amefanikisha hayo yote asilimia zote
  6. N

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Mbona tangazo la mwaka jana
  7. N

    Dr. Getrude Rwakatare ateuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum nafasi ya Sofia Simba

    Hongera zake mwenye nacho ataongezewa
  8. N

    Maswali kuhusu elimu ya awali ya Dr. Joseph Magufuli

    Kweli hata kama ni kumchukia mtu mmezidi. Acheni uongo
  9. N

    Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

    Mhe Gudboy naomba ushauri kuna mtu anatumia kitanzi cha miaka 12, anatatizo la kutokwa na majimaji mengine na ute mzito mara nyingine una rangi ya cream au kama kijani. Tumempeleka hospital wanasema ni kawaida haina madhara. Ni sawa
  10. N

    Ni ugonjwa gani na nini dawa yake

    Habari wanadau naomba ushauri. Nina mtoto wa ndugu yangu ana miaka 3 ni wa kiume. Alikuwa anatembea na kukimbia vizuri ghafla ameacha kutembea akitembea hatua moja ana dondoka na hawezi kaa Muda mrefu. Yuko kama amelegea. Tumempeleka hospital vipimo hawaoni ugonjwa wala xray hazioneshi...
  11. N

    Alichokifanya Rais wakati wa kumsindikiza PM wa Ethiopia ni "aibu" kiitifaki, wahusika msaidieni

    Aisee binadamu kazi leo unasema jk was the best. Nyie si ndo mlikuwa mnamponda. Kuweni na misimamo. Na nyie mnaokaa kukosoa serikali. Tumechoka
  12. N

    Dr. Dalaly Kafumu: Kusema ukweli uamuzi wa Rais katika suala la mchanga utaligharimu taifa baadae

    Rais Yuko sahihi na hawa wanasiasa kazi yao hawajengi ni kubomoa, unafiki tu
Back
Top Bottom