Subiri hapo uone watu wanavyotafuta malori ya kurudi bariadi,geita,na wilaya zote za mwanza wengi watalala hapohapo uwanjani msiicheze na ukawa mtalala uchi nyie fisiemu
Mungu ailaze roho ya mama yetu mahala pema peponi amen,angalizo mimi ni ukawa ila kwa hili naomba watanzania tuwe pamoja katika kipindi hiki kigumu cha msiba hapa ndio huwa naamini watanzania ni ndugu moja kabisa,poleni familia poleni chama cha mapinduzi
Sasa kati ya ccm na ukawa nani anapata hasara?akili za viroba bana yani lipumba alilamba bil 2 dr slaa na mchumba wake walilamba euro mil 1.5 sawa karibu na bil 4 twaweza bil1,aunt ezekiel na ray mil100,diamond mil500 bado polepole na kina wema na wasanii kibao wamechukua sasa jiulize nani...
Mdahalo sio lazima hata muheshimiwa raisi akija kwa mdahalo atachozunguza ni ilani ya chama hivyo hata mimi kama naijua ilani naweza kuja kwa mdahalo kwani tatizo ni nini?mbona mafisiemu kwa mara ya kwanza manalilia mdahalo?au mnataka mgombea wenu aje kusema raisi wa libya alikua sadamu huseni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.