Asante Mwanza, UKAWA sasa BAI BAI

Mr Chin

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
4,625
1,024
[h=3]
12144822_809338715831392_6908160822489490931_n.jpg

12074599_914974091872666_3905132860876592448_n.jpg
[/h]
10553311_914974155205993_1626708891236965184_n.jpg


12112280_914974491872626_3423267790930302891_n.jpg


11140031_914974575205951_1146605358329208066_n.jpg


12074599_914974091872666_3905132860876592448_n.jpg


10553311_914974155205993_1626708891236965184_n.jpg


Haya mafuriko sio ya kutengeneza kama yake ya Lowassa ambayo walitumia picha za Conakry Guinea. CCM haina ushindani Tanzania yote. Mwanza asante sana na huu ujumbe umesha wafikia UKAWA.

Hapa ni Kazi Tu,

Mr. Chin
 
" Nendeni kwenye mikutano ya kampeni muwasikilize wanasema nini kisha linganisheni muliyoyasikia ili siku ya uchaguzi mufanye maamuzi sahihi"- by mimi.
 
Mgeja kamkimbia Lowassa siku hizi baada ya kutafuna pesa ya kuwapelekea Masheikh wa CUF haonekani nafas ya kugawa 'mafuriko' kapewa Makongoro Mahanga
 
Naona fiesta imeisha vizuri hapo Mwanza ingawa ilitanguliwa na mkasa wa kifo cha Afande muongozaji wa Msafara jpm.
 
Hivi diamond alikuwepo leo? Achilia mbali key artist ambae ni magufuli teh teh
VIVA UKAWA!!!
 
Subiri hapo uone watu wanavyotafuta malori ya kurudi bariadi,geita,na wilaya zote za mwanza wengi watalala hapohapo uwanjani msiicheze na ukawa mtalala uchi nyie fisiemu
 
Hebu tuonesheni na walipokuwa wanaenda uwanjani maana Lowassa walionesha walipokuwa wanaenda uwanjani kwa miguu
 
[h=3]
12144822_809338715831392_6908160822489490931_n.jpg

12074599_914974091872666_3905132860876592448_n.jpg
[/h]
10553311_914974155205993_1626708891236965184_n.jpg


12112280_914974491872626_3423267790930302891_n.jpg


11140031_914974575205951_1146605358329208066_n.jpg


12074599_914974091872666_3905132860876592448_n.jpg


10553311_914974155205993_1626708891236965184_n.jpg


Haya mafuriko sio ya kutengeneza kama yake ya Lowassa ambayo walitumia picha za Conakry Guinea. CCM haina ushindani Tanzania yote. Mwanza asante sana na huu ujumbe umesha wafikia UKAWA.

Hapa ni Kazi Tu,

Mr. Chin

Leadership is to get followers. Do people follow you willingly?
 
Back
Top Bottom