Mbona hawana furaha? Huoni kuwa kuna UKAWA wengi tu hapo?Mwanza asante sana na huu ujumbe umesha wafikia UKAWA.
Hapa ni Kazi Tu,
Mr. Chin
Tuimbe wote fiesta fiestaaa kwa sauti jamani rudia kiitikio fiestaaa fiestaaaa
[h=3]
[/h]
Haya mafuriko sio ya kutengeneza kama yake ya Lowassa ambayo walitumia picha za Conakry Guinea. CCM haina ushindani Tanzania yote. Mwanza asante sana na huu ujumbe umesha wafikia UKAWA.
Hapa ni Kazi Tu,
Mr. Chin