cris justine
New Member
- Oct 16, 2015
- 1
- 0
Anna akili nyie tulien mskurupuke mi nimegaiwa ela ccm saiv mnasema ss ukawa tuna gawa ela kama amjui kitu tulien
Leo mwanza boda boda wakipigwa full tank na kipande cha 10,000 cha boss
Nimesikitishwa sana na taarifa kuwa umoja huu wa UKAWA umesalitiwa na bodaboda baada ya kugundua kuwa umoja huo unaangalia maslahi ya viongozi wa juu wa umoja huo na si kuwainua wananchi wa kipato cha chini. Hivyo vijana hao wameapa kuwa wataendelea kuchukua fedha wanazopewa na UKAWA kama rushwa ili waweze kuwachagua kuingia madarakani.
Vijana hao wamesema kuwa sh.5000/ wanazolipwa watazichukua na watapigia kura mgombea mchapa kazi, mwadilifu na mzalendo.
Nami nimeona ni vyema nililete kwa wadau, kwa kuwa maeneo mengi niliyopita vijana hawa wamesema wamechoka ahadi za UKAWA ambazo kimsingi ni danganya toto.
CCM itashinda kwa kishindo.
Ata mm ni ccm damu
Nimesikitishwa sana na taarifa kuwa umoja huu wa UKAWA umesalitiwa na bodaboda baada ya kugundua kuwa umoja huo unaangalia maslahi ya viongozi wa juu wa umoja huo na si kuwainua wananchi wa kipato cha chini. Hivyo vijana hao wameapa kuwa wataendelea kuchukua fedha wanazopewa na UKAWA kama rushwa ili waweze kuwachagua kuingia madarakani.
Vijana hao wamesema kuwa sh.5000/ wanazolipwa watazichukua na watapigia kura mgombea mchapa kazi, mwadilifu na mzalendo.
Nami nimeona ni vyema nililete kwa wadau, kwa kuwa maeneo mengi niliyopita vijana hawa wamesema wamechoka ahadi za UKAWA ambazo kimsingi ni danganya toto.
Nimesikitishwa sana na taarifa kuwa umoja huu wa UKAWA umesalitiwa na bodaboda baada ya kugundua kuwa umoja huo unaangalia maslahi ya viongozi wa juu wa umoja huo na si kuwainua wananchi wa kipato cha chini. Hivyo vijana hao wameapa kuwa wataendelea kuchukua fedha wanazopewa na UKAWA kama rushwa ili waweze kuwachagua kuingia madarakani.
Vijana hao wamesema kuwa sh.5000/ wanazolipwa watazichukua na watapigia kura mgombea mchapa kazi, mwadilifu na mzalendo.
Nami nimeona ni vyema nililete kwa wadau, kwa kuwa maeneo mengi niliyopita vijana hawa wamesema wamechoka ahadi za UKAWA ambazo kimsingi ni danganya toto.
Ondoa ulofa wako. Ukawa imeshindwa kabla ya uchaguziCCM itadondoka kwa kishindo kikuu!!