Ni jambo la kawaida kukuta binti mdogo tu mbichi kabisa yuko sehemu anafua, anapiga deki anaosha vyombo na kufanya kazi zote za nyumbani kwa kijana mmoja.
baadaye anatumika kimapenzi na kisha anasindikizwa kwa mguu mpaka kwake au kwao. Ukimuuliza huyo binti atakuambia huyu ndiyo mpenzi wangu...
Daaah nilikuwepo hapo nikipiga PCB,yan uongoz wa shule hauna habar ni mwendo wa utawala binafsi tuu alaf watu wanapasua pepa kama kawaidaa!!!!!!.[emoji2] [emoji2] [emoji1]
Waziri wa afya, maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto Mhe Ummy Mwalimu imekiambia chama cha madaktari nchini-MAT-kuwa serikali haina tatizo la uhaba wa madaktari hapa nchni kutokana na vyuo vya udaktari vilivyopo kuzalisha zaidi ya madaktari elfu moja kila mwaka.
Akizungumza katika...
Kampani+lack of self control &determination+ushamba+boom+freedom.......etc
Yako mengi lakini cha msingi ni kujitambua tuu,pia msisahau kufanya ibada kulingana na imani zenu,ni muhimu sana!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.