Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,869
- 54,105
Umenikumbusha mbali mkuu. Father Kalumanzira au Fr. Gabriel, Shewere alikuwa mwalimu Kazima Sekondari. Kwa sasa sijui wako wapi? Siku ziiiileeee.... kama naziona hivi!Mie nilimaliza hapo 1983 combination ya French . Nilikuwa Kennedy no. 10. Nakumbukia Sana maembe ya kule mawiti. Maji tulikuwa tunachota Bwawa la igombe. Nakumbukia father kalumanzira wa parokia ya makokola. Classmates ninaowakumbuka ni kama Shewere, Ben Mwangonda, Felix Lubuva, Revocatus Msokane, Julius Mganga , Philip assey n.k. Mkuu alikuwa ni Mr. Msemakweli.