Shule ya sifa: Shule ya Sekondari Milambo, Tabora

Shule ya sifa: Shule ya Sekondari Milambo, Tabora

Msangi bado yupoooo
nilikwenda hapo mwaka juzi nikamkuta na kupiga nae picha kadhaa, nikaenda bweni nililokuwa ninalala la sokoine, nikaenda ona kitanda changu manake tangu nimetoka hapo ilikuwa ni miaka 21 sijakanyaga milambo, alinikumbuka kwani nilikuwa mkorofi kiaina, nikamkumbushia tukio 1 alicheka sana ila akanieleza wengine walishastaafu wapishi wenzake na wengine walishakufa ila na yeye akasema mwakani anastaafu nadhani mwaka wa 2016
 
kuna siku alfajiri tukawa tunakimbia mchakamchaka, sasa kufika pale 4 ways karibia na mihayo sekondari, tukakutana na tabora boys nao wanakimbia mchakamchaka, dadadeki, ulitembea mkono hapo, sie tusio na nguvu vinyoya tukalala mbele kurudi shule, wababe wakanyukana, na kuna siku tena tulikutana na tabora boys nadhani lilikuwa ni kombe la mgulunde pale kazima, mechi kwisha tu ngumi zikaanza mpunga wa kazima sec wote ulilazwa chini, na kuna siku wakakosea behewa la treni tukawekwa pa1 na tabora boys, kuingia tunakuta tabora boys wametuna wanapiga story, mkono ulitembea hapo mpaka tabora boys ikabidi warudi kwa station master wakapewa behewa lingine
Mgurunde cup ilikua vita mwaka juzi nilipo kua tabora liitokea tifu hatari kati ya walambo na chuo cha uhadhirii waliumizwa sana watu magari yalipasuliwa vioooo
 
Mwl jubwa
Mwl katondola
Mwl zoma
Hao wote nawapata vizuri sana Mimi hapo nimemaliza 2002 bila kumsahau na Mwl sikazwe
 
Mgurunde cup ilikua vita mwaka juzi nilipo kua tabora liitokea tifu hatari kati ya walambo na chuo cha uhadhirii waliumizwa sana watu magari yalipasuliwa vioooo
wanaume wanaosoma uhazili kwa kweli duu
 
Usifananishe tabora boys na mirambo ni vitu viwili tofauti, kwanza katika malengo ya watu wanachokifuata

1.Tabora boys wanaenda shule kusoma ili wapate vyeti, millambo wanaenda shule kujifunza ili wapate elimu


Ukiujua huo utofauti hutoifananisha milambo na shule yeyote tanzania au na A. Mashariki

Ni mwanafunzi wa Milambo pekeee anaanza kidato mpaka anamaliza hamjui mwalimu wa somo wala darasa zaidi ya mwalimu wa usafi na chakula
Lakini abaingia kwenye ushindani wa mitihani ya kitafa

Ni mwanafunzi wa milambo pekeee anaenza shule mpaka anamaliza shule anafanya mtihani wa mock anakujakumaliza na NECTA basi lakini matunda utayaona.


Ni mwanafunzi wa milambo pekee anaehudhuria shughuri za kijamii mf. Misiba na sherehe na kujamiiana na jamii inayomzunguka kwa kujifunza maisha halisi watu wanayoishi na yeye atakayoishi pindi amaluzapo masomo yake


Ni mwanafunzi wa milambo pekeee anaejua yupi ni adui yupi ni ndugu na kipi nifanye na kipi nisifanye, pia ni huyuhuyu pekeee ambaye siku zote wakiwa shule huishi kwa kuchukuliana na kuteteana kama familia, hata muwe na tofauti zenu mkiwa pale ikitokea ukafanyiwa ndivo sivyo mnaweka tofauti zenu chini mnaungana na kutoa maamuzi kwa pamoja.

MILAMBO SIO SHULE YA KAWAIDA KATIKA UKANDA HUU WA A. MASHARIKI NA KATI

MILAMBO NOMA SANA,
2007 TULIGOMA MPAKA MAMA SITA KAJA KUMWONDOA JUBWA AKAMLETA MPITA NJIA, 2008 TUNAMALIZA PEPA
HALAFU MSHIKAJI JUBWA KAJA KUTUHARIBIA PRACTICAL DAAH. UNAFANYA TITRATION YOTE NO COLOR CHANGES,
LAKINI NDIYO VILE TULIPIGA VILEVILE

MTIHANI WA KWANZA NA WA MWISHO ILIKUWA NECTA NAAMINI WALIONDOKA 2008 WANAKUMBUKA.
 
Mwalimu Kyala namkumbuka alikuwa second master miaka ya 1982 na walimu wengine ni Mwilu, Rutagengwa, Hinju, Maduhu, halafu nayakumbuka maziwa tulikuwa tunayanywa kila saa 4halafu tulikuwa tunayaita CHACHU maana yake yalikuwa ni machachu kweli
 
Ila madogo wa Tabora Boys huwa wanawakimbiza sana kitaaluma.

Tatizo nini wazee?Hata Tabora Girls tu wanawashinda jamani
Tabora boys wanasoma na Tabora Girls kama kaka na dada, Unajua maana ya NATO? acha wasije wenyewe wakanipa ban, Milambo wao shule ya wanaume
 
Usifananishe tabora boys na mirambo ni vitu viwili tofauti, kwanza katika malengo ya watu wanachokifuata

1.Tabora boys wanaenda shule kusoma ili wapate vyeti, millambo wanaenda shule kujifunza ili wapate elimu


Ukiujua huo utofauti hutoifananisha milambo na shule yeyote tanzania au na A. Mashariki

Ni mwanafunzi wa Milambo pekeee anaanza kidato mpaka anamaliza hamjui mwalimu wa somo wala darasa zaidi ya mwalimu wa usafi na chakula
Lakini abaingia kwenye ushindani wa mitihani ya kitafa

Ni mwanafunzi wa milambo pekeee anaenza shule mpaka anamaliza shule anafanya mtihani wa mock anakujakumaliza na NECTA basi lakini matunda utayaona.


Ni mwanafunzi wa milambo pekee anaehudhuria shughuri za kijamii mf. Misiba na sherehe na kujamiiana na jamii inayomzunguka kwa kujifunza maisha halisi watu wanayoishi na yeye atakayoishi pindi amaluzapo masomo yake


Ni mwanafunzi wa milambo pekeee anaejua yupi ni adui yupi ni ndugu na kipi nifanye na kipi nisifanye, pia ni huyuhuyu pekeee ambaye siku zote wakiwa shule huishi kwa kuchukuliana na kuteteana kama familia, hata muwe na tofauti zenu mkiwa pale ikitokea ukafanyiwa ndivo sivyo mnaweka tofauti zenu chini mnaungana na kutoa maamuzi kwa pamoja.

MILAMBO SIO SHULE YA KAWAIDA KATIKA UKANDA HUU WA A. MASHARIKI NA KATI
Its true broo,Basi na ile slogan yetu ya walambo ni wamoja basi ni fully cooperation!. Hahaah ulamboni ilikua raha sanaaa!!!!
 
Kusoma hapo kumekusaidia nn katika maisha yako ya sasa? Australia zimebaki stori tu?
 
Wewe uliyeuliza maana ya NATO. Ni kwamba mimi nilikuwa nasoma pale Old Moshi ambayo ndiyo Moshi sekondari kwa sasa. Ni miaka ya 1977. Nikuwa Naishi bweni la Meru block 21.MWalimu wangu wa bweni alikuwa Bakari Kaoneka. kuna siku tulienda kucheza muziki shule ya wasichana Weruweru. sasa umeme ghafla ukakatika wakati muziki ukiendelea. Wasichana wale walitegemea kuwa kwenye giza mambo fulani fulani yangeendelea lakini siyo. Kuanzia siku hiyo wakatukatia Jina la NATO na kirefu chake ni NO ACTION TO OLDMOSHI
 
Back
Top Bottom