Makonda, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ameanzisha vita dhidi ya dawa za kulevya. Imeonekana vita hii imekuwa wimbo wa TAIFA kwa sasa. Polisi, mkuu wa kaya, na kila kiongozi akafuata, akaanza vita hii. Ikaundwa idara-Taasisi maalum chini ya Bwana Sianga KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA.
Tumekuwa...