Recent content by nyembeason

  1. N

    Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

    Homeboy, Mwigulu, hapa ndo tunajua tai na skafu za bendera za taifa siyo uzalendo......actions...power....authority KAMA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI....SEEMS U LACK OF ALL OF THEM. JE, WE NI WAZIRI KIVULI FROM OPPOSITION AS MR. LEMA DOES? ...UNA KOMAND KWELI KWA JESHI LA POLISI?...NINA WASIWASI!
  2. N

    Maajabu Tanzania: Kutoka kuuza umeme nje ya nchi hadi kununua umeme 'cheap' toka Ethiopia

    1. Tanzania kuuza umeme nje ya nchi...tuna gesi mita za ujazo zaidi ya trilioni 3000 (Prof. Mwongo). 2. Tanzania kununua Umeme wa bei Nafuu kutoka Ethiopia (Prof. Mwongo...
  3. N

    Tundu Lissu: Hotuba ya Rais Magufuli kuhusu Makontena ya Mchanga, inatia shaka ya rule of state

    http://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&ved=0ahUKEwi15t2bsfnSAhVLbRQKHU-TB40QFggZMAA&url=http%3A%2F%2Freligiondev.ipadpetereview.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F02%2Fa-golden-opportunity-justice1.pdf&usg=AFQjCNEmh1Qe72NgRlSi8BtTNWcb3m0q7A&sig2=1jmGZfSLAgWFhiaDw2UAcQ
  4. N

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba: Naagiza aliyemtolea bastola Nape Nnauye, achukuliwe hatua

    Nimeona kwenye tweeter na facebook pages za Mh. Mwigulu, Waziri wa MAMBO YA NDANI, akilaani kitendo cha askari kutoa bastola na kumnyooshea Mh. Nape Nnauye na kumtishia kumpiga Risasi. Huu ni unafiki wa hali ya juu, na UBAGUZI. Mbona Makonda KAVAMIA kituo cha TV Clouds kwa kutumia polisi na...
  5. N

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Usicheze na BASHITE.....itakula kwako. Kaeni kimya. Uwe WAZIRI MKUU, WA ARDHI, MAKAMO WA RAIS...Uwe kingu...does not matter. More drama
  6. N

    Wizi kwa wanaotaka ajira, Police kamateni hawa watu

    Hi Applicant! I have the pleasure to inform you that the RECRUITMENT TEAM has received, reviewed and thoroughly discussed your credentials and has finally made a final decision of calling you for a face to face interview. BRIEF INTRODUCTION TO APEX CONSULTANTS CO. LTD. We are A General...
  7. N

    Road Safety: Stika za Nenda kwa Usalama ni wizi, tuungane kuupinga

    Wadau, Jana nilizungumzia URASIMU usio na maana kuhusu suala la STIKA ZA USALAMA Barabarani. Hatimaye NIMENUNUA moja kwa TZS 10,000/= (nafikiri za kiwi). Zinauzwa kwa njia za RUSHWA na ni mhimu UTUMIE watoto wa TAUNI ili uzipate MAPEMA. Sote tunajua kuwa HAKUNA ANAYEPELEKA GARI YAKE/ZAKE...
  8. N

    Stika za usalama barabarani

    Wadau, Naamini hakuna mtu anayepeleka GARI LAKE POLISI ili likaguliwe na kupewa STIKA YA USALAMA barabarani. Sidhani. LENGO ni serikali ipate fedha za kuendeshia nchi. Kwa kawaida, STIKA HIZI huchelewa kuja au kwa makusudi zinafichwa (naamini ili tupigwe faini na kutengeneza mazingira ya...
  9. N

    MAKONDA APEWE WIZARA YA MALIASILI

    Makonda, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ameanzisha vita dhidi ya dawa za kulevya. Imeonekana vita hii imekuwa wimbo wa TAIFA kwa sasa. Polisi, mkuu wa kaya, na kila kiongozi akafuata, akaanza vita hii. Ikaundwa idara-Taasisi maalum chini ya Bwana Sianga KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA. Tumekuwa...
  10. N

    Hongera RC Makonda kwa hili la madawa ya kulevya

    Nampongeza sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda. Vita yake dhidi ya madawa ya kulevya inaonesha dhahiri yeye ni mtu anayetenda. Hata asipofanikiwa, amejaribu. Vita hii aliyoanzisha Mhe. MAKONDA imewashinda mawaziri, hasa wa mambo ya ndani.Wamebaki kupiga picha tu na tai/skafu ya...
  11. N

    WIZI MITANDAONI

    Wizi mpya kwa wasaka kazi wenzangu. Utaomba kazi, kampuni/NGO iliyotangaza kazi hiyo uliyoomba. Watakuambia wamekushortlist kwa INTERVIEW. Kisha watakuambia utume fedha za maandalizi/kuhojiwa-INTERVIEW..au ili wakupe kazi inabidi uhonge kidogo kwa Panelists. Kwa wengine, watakutaka ufanye test...
  12. N

    Prof. Palamagamba Kabudi, mtaalamu wa sheria Afrika na duniani

    Ni kesi zipi kafanya au KATOA mchango wa maana? MGOMBE BINAFSI ALIAIBOSHA....KIMSINGI ANA MANENO MENGI KULIKO UKWELI WENYEWE. HAANDIKI, HAENDI MAHAKAMANI, KIMATAIFA HAONEKANI...WAPI ANAPATA SIFA ZOTE HIZO????...GPA?//...KWA GPA YES, BUT HAIPO KWENYE MCHANGO AU USMART KWENYE HOJA ZA KISHERIA
  13. N

    Prof. Palamagamba Kabudi, mtaalamu wa sheria Afrika na duniani

    Nilibahatika kuwa mwanafunzi wake wa Family Law. Naomba angalau ANDIKO LAKE MOJA AU MCHANGO WAKE KWENYE TASNIA HII YA SHERIA POPOTE PALE DUNIANI Tafadhali! Sijui kama anaweza kuwa hivyo usemavyo. Nijuavyo ana sifa nyingi, ila haajandika hata page kadhaa...kwenye maeneo yake.
  14. N

    AJIRA AU FUNDS ZA Africa Climate Change Resilience Fund NI WIZI

    Africa Climate Change Resilience Fund ni taasisi (MTANDAO WA WEZI-NON EXISTING) feki, ya kitapeli. Ukiomba fedha kwao, watakuomba utume 'dola 100 ' processing fee ya fedha unayoomba'. Kwa wanaojua funds/fedha za miradi zilivyo haingii akilini utume dola 100, kisha hao watu wake wakupe dola...
  15. N

    ukame na njaa: Rais awaamrishe wateule wake

    Haya majanga, njaa na ukame, lazima yakabiliwa kwa njia za kisera na kisayansi, siyo matamko au ubabe kwa wananchi wanayokumbana nayo kwa sasa. Rais lazima aelimishwe kitaalamu KISHA atumie mamlaka yake ya kutoa matamko yake kuyakabili, siyo kuwatupia wananchi. Awaambie wakuu wa wilaya, mikoa na...
Back
Top Bottom