MAKONDA APEWE WIZARA YA MALIASILI

nyembeason

Member
May 4, 2009
44
21
Makonda, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ameanzisha vita dhidi ya dawa za kulevya. Imeonekana vita hii imekuwa wimbo wa TAIFA kwa sasa. Polisi, mkuu wa kaya, na kila kiongozi akafuata, akaanza vita hii. Ikaundwa idara-Taasisi maalum chini ya Bwana Sianga KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA.

Tumekuwa na MAJINGILI kwa muda mrefu sana. Tembo wanaisha. Kwanini MAKONDA asipewe WIZARA hii ya Maliasili ili UJANGILI uwe wimbo wa TAIFA kila mmoja aimbe, apigane vita hii?.Mawaziri wameonekana mizigo sana kwenye eneo HILI-UJANGILI.
 
Makonda, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ameanzisha vita dhidi ya dawa za kulevya. Imeonekana vita hii imekuwa wimbo wa TAIFA kwa sasa. Polisi, mkuu wa kaya, na kila kiongozi akafuata, akaanza vita hii. Ikaundwa idara-Taasisi maalum chini ya Bwana Sianga KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA.

Tumekuwa na MAJINGILI kwa muda mrefu sana. Tembo wanaisha. Kwanini MAKONDA asipewe WIZARA hii ya Maliasili ili UJANGILI uwe wimbo wa TAIFA kila mmoja aimbe, apigane vita hii?.Mawaziri wameonekana mizigo sana kwenye eneo HILI-UJANGILI.
Wacha kutuletea upuuzi huo na kama ni makonda kakutuma kamwambie tumestukia dili
 
Nani kawadanganya kuwa ile ilikua ni vita ya madawa ya kulevya?

THE END

cf1f2cdd40e618386785591c278a65b6.jpg
 
Tupe majibu ya utajiri na mali anazomiliki 1st, tutamsaidia ktk elimu ya kuongoza mana tunaamini kiongozi anatengenezwa + kuandaliwa, kama atakuwa tayari kujifunza. Kuna mapungufu anayo kama binadamu lazima ayafanyie kazi. kwa sasa badooooo.
 
Nadhani ni vizuri tukampatie kazi ya kufuta zero kidato cha nne hapo Kinondoni n.a. DSM nzima
 
Back
Top Bottom