Prof. Palamagamba Kabudi, mtaalamu wa sheria Afrika na duniani

Jamani nisaidieni na hizi teuzi za Rais Magufuli zinazowalenga wasomi waliojiimarsha kwenye fani zao il watoe huduma za kitaaluma kwa wengine wanaochipukia (knoledge and skills transformation).A thari zake ni nini karibuni.
 
Unazi kweli ni NOUMA
Mtu ni profesa wa sheria,
Lecturer wa wanaosomea phd ya Sheria
Amebobea kwa uzoefu wa miaka tele
Bado inakuuma akiitwa NGULI WA SHERIA...
Mbona sijakusikia ukihoji yule dogo anayejiita Wakili MSOMI as if kuna wakili ambaye hajasoma
Au mwanasheria nguli ni LISSU pekee
Teh teh teh teh teh teh teh......
hiyo ni lugha ya kisheria, wanasheria woote duniani wanaitwa "learned brothers au learned sisters"...yaani wanasheria wasomi. ni jina linalotumika dunia yote unapo address mwanasheria mwenzio mahakamani....hata mwenye degree moja huitwa mwanasheria msomi, hata professor ni mwanasheria msomi. ila kwa prof huyo unayemwongelea, hajapractice sheria, ninyi sio wanasheria ndio maana hamjui tasnia ya sheria inafanyaje kazi. ukiwa profesa wa sheria na haujawahi kupractice mahakamani, wewe ni sawa tu na mwanasheria anayemaliza degree ya kwanza amesoma tu theory hajapractice bado mahakamani, sheria ni mahakamani sio ofisini. huyo hata Bar examination hajawahi kufanya, hajawahi kuwa mwanasheria wa kuappear mahakamani, ni mtu wa darasani tu, sasa sheria sio theory, yale yanayofundishwa na darasaani ni kidogo sana kutumika mahakamani, hivyo hata mwenye degree ya kwanza anafaa kuwa mwanasheria aliyebobea kuliko yeye.
 
Wewe ndio mpumbavu kabisa. Unaelewa maana ya chama tawala ni nini? Ndicho kinasimamia serikali na lazima wateule wake wawe na msimamo mmoja.
Huwezi kuendesha serikali na ideology za aina mbili. Chadema au TLP tutawahoji hilo ujinga wako unalofikiri kama wamepewa madaraka.
Kesho mtahojiwa kitu mtaanza mbona Dovutwa yuko hivi au vile.
Kabudi anaweza kuharibu credibility yake kwa kujichanganya na mambo ya kiccm
Aise ww kweli Nyumbu, yaani unashindwa kumhoji wkt anatafta nafasi eti unasubiri umi
Umuhoji akishashika Nchi. Hiyo akili matope!

Sikiliza mkuu Tangu muwapokee Lowassa, Kingunge na Sumaye you no longer hold the legitimacy to question any thing on Warioba Constitution! Hilo jukumu waachieni wananchi! na may be Civil Societies!
CDM sasa hamna tofauti na CCM, tayari mnatabia zote za KCCM ndo maana 2015 watu waliamua kuchagua a less evil, yaani we had two evils( CCM &CDM).
Narudia tena kwenye katiba ya Warioba na ufisadi CDM no longer hv legs!!! Mpaka mtakapowaomba msamaha watanzania kwa usaliti!!
 
Prof Palamagamba Kabudi mtaalam wa sheria Afrika na duniani ambae alikuwa ni Lecturer wa sheria UDSM pia mwanasheria mkuu wa chuo UDSM.

Anaenda kulitumikia Taifa lake ndani ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Mimi naweza sema Prof anaenda kuwa mwarobaini kwa wanasiasa wafanya fujo za kisheria.

Rais DR JPM siku zote huwa anafanya maamuzi ya busara sana ya kuchagua watu wenye uweledi mkubwa wa kazi, kwa hilo DR JPM tunampongeza sana.

Ndugu yangu Mh Tundu Lissu natumai umepokea uteuzi huu kwa kuraha sana maana mwalimu wa sheria mmeletewa bungeni, hivyo mtakapo kwama msisite kumwomba ushauri.

UDSM tunakuombea mema Prof Kabudi katika safari yako hii mpya ya kuwatumikia WaTanzania.

Mungu ibariki Tz
Mungu ibariki UDSM.

hamis abeid (mr amazing)View attachment 460802
Nilibahatika kuwa mwanafunzi wake wa Family Law. Naomba angalau ANDIKO LAKE MOJA AU MCHANGO WAKE KWENYE TASNIA HII YA SHERIA POPOTE PALE DUNIANI Tafadhali! Sijui kama anaweza kuwa hivyo usemavyo. Nijuavyo ana sifa nyingi, ila haajandika hata page kadhaa...kwenye maeneo yake.
 
Nilibahatika kuwa mwanafunzi wake wa Family Law. Naomba angalau ANDIKO LAKE MOJA AU MCHANGO WAKE KWENYE TASNIA HII YA SHERIA POPOTE PALE DUNIANI Tafadhali! Sijui kama anaweza kuwa hivyo usemavyo. Nijuavyo ana sifa nyingi, ila haajandika hata page kadhaa...kwenye maeneo yake.

Ni kesi zipi kafanya au KATOA mchango wa maana? MGOMBE BINAFSI ALIAIBOSHA....KIMSINGI ANA MANENO MENGI KULIKO UKWELI WENYEWE. HAANDIKI, HAENDI MAHAKAMANI, KIMATAIFA HAONEKANI...WAPI ANAPATA SIFA ZOTE HIZO????...GPA?//...KWA GPA YES, BUT HAIPO KWENYE MCHANGO AU USMART KWENYE HOJA ZA KISHERIA
 
Aliturostisha kwenye kesi ya mgombea binafsi alipoitwa kama friend of the court mahakamani akaongea utumbo mpaka tukakosa mgombea binafsi sidhani kama amebakiza jambo la maana kwa wananchi
Nina mashaka na Maprofesa na watu wenye Umri mkubwa. Awajui mtaani kukoje
 
Prof Palamagamba Kabudi mtaalam wa sheria Afrika na duniani ambae alikuwa ni Lecturer wa sheria UDSM pia mwanasheria mkuu wa chuo UDSM.

Anaenda kulitumikia Taifa lake ndani ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Mimi naweza sema Prof anaenda kuwa mwarobaini kwa wanasiasa wafanya fujo za kisheria.

Rais DR JPM siku zote huwa anafanya maamuzi ya busara sana ya kuchagua watu wenye uweledi mkubwa wa kazi, kwa hilo DR JPM tunampongeza sana.

Ndugu yangu Mh Tundu Lissu natumai umepokea uteuzi huu kwa kuraha sana maana mwalimu wa sheria mmeletewa bungeni, hivyo mtakapo kwama msisite kumwomba ushauri.

UDSM tunakuombea mema Prof Kabudi katika safari yako hii mpya ya kuwatumikia WaTanzania.

Mungu ibariki Tz
Mungu ibariki UDSM.

hamis abeid (mr amazing)View attachment 460802

ni njaa tu atatumikia CCM sio vyenginevyo
 
Tutaona kama Mbunge wa kuteuliwa na Rais na mwenye weledi wa sheria kama atasimamia hoja yake ya serikali tatu.
Akipinga maandiko yake kama Mwakyembe ndio tutaamua kama anao weledi kama anavyo fikiriwa au laa

Hivi watu huwa mnafikiria kwa kutumia nini? Aliyesema anaenda kujadili hoja ya katiba au muundo wa serikali tatu au mbili ni nani? Aliyesema utawala wa Magufuli utafanyia kazi suala la katiba ambalo halimo kwenye ilani ya chama ni nani?

Haya masuala muwe mnayaangalia kwa umakini. Yeye kuwa nguli wa sheria hakumuondolei mapungufu yake kama binadam. Atafanya kadri ya uwezo wake na kadri ya dhamira yake. Sio kumpima kwa suala la katiba amabalo lilikufa na awamu iliyopita maana kama hujui suala la katiba nalo ilikuwa njia ya watu kuchota pesa za umma kwa mabilioni ya shilingi. Katiba moya iko wapi?
 
kajamaa lengo lake ilikuwa ni kuonesha kuwa kamewah kupiga picha na Prof Kabudi palamagamba.
 
siyo alikuwa,bado ni mhadhiri mwandamizi na kuteuliwa kwake haina maana kwamba kaacha kifundisha
 
Habari wanajamvi..

Nimekaa chini nikafikiria sana, huenda huyu Prof ameamua kukubali teuzi, kwa sbbu pale UDSM kwa sasa hakuna changamoto tena mpya... Vijana wanaojiunga na chuo hicho, zaman kikiitwa chuo cha taifa hakina tena vijana wenye uwezo wa kuwa- challenge walimu wao, hata pia ku- reason...

Wengi ni watoto wa shule za Saints, sasa wao walizoea kusikiliza tu bila kuhoji, yaani wakiwa darasani ni kama vibuyu.. Wakipewa assignment wao ni kwenda kugogo, maktba kwao haina nafasi tena.. Nadhani ni sabbu kubwa iliyofanya Prof kwenda kutafuta changamoto zingne kwenye siasa.

Mbali ya kuwa prof huyu, nimekuwa nikumuona nyumba za ibada, ila kiukweli ni mtu ambaye anatoka kwenye familia yenye misingi ya imani katoliki imara na pia ni mtu wa watu....

Mkewe anaitwa Dr Amina Kabudi, Director Mnager wa Library, ni mama mpole na mtulivu wa moyo, sijawahi kumkosa ibada za kila siku pale Mlimani kuanzia Saa 12 kamili mpka sa 12 na nusu, tangu nianze degree yangu 2008 mpka sasa nikiwa stafu hapo mlimani
 
Kichwa cha akili kilichotengeneza uprofesa wake anakiacha chuoni huku kwenye uteuzi anakuja na gamba la kichwa la kujaza amri za akina magu hivyo hawezi kushindana na akina Lissu ambao wanatembea na vichwa vilivojaa materials ya taaluma bila kuacha nafasi za kujaza miongozo na amri
 
Duh! Kuliko kubaki kuwa Mwanatalaamu na kutengeneza vijana wanaoweza kuleta changamoto kwenye masuala mbalimbali ya kitaifa basi ni bora afuate changamoto hizo kwenye siasa!!! Kule kule ambako, chama kwanza weledi baadae!!!!

Ni vile tu wewe sio Kabudi mwenyewe vinginevyo basi ningesema fanya haraka kufungasha uondoke hapo UDSM manake hufai!!! Huwezi kuwa na Mwanataalamu ambae anaamini ni bora kufuata changamoto kwenye siasa badala ya kuzalisha kizazi kinachoweza kuleta changamoto!!
 
Back
Top Bottom