Walishafundishwa unafiki ukiwa upande wao lazima useme ndiyo hata ukininginizwa kichwa kwenye tundu la choo Nape kasema atasimamia anachokiamini at least amejitahidi kuacha unafiki wao
Serikali awamu zote mambo yalienda swafii serikali ya sasa haijawahi kuajiri mnawaza kuwapunguza Hayo ni mawazo dumavu pelekeni compyuta shuleni zikasimame ubaoni
Mkurugenzi wa tanesco kisa cha kutangaza bei mpya ya umeme ilikuwa in kunusuru hali hiyo japo aliwafahamisha wakamgeuka na kumtumbua Leo wanahaha namna ya kuinusuru tanesco na madeni inayoikabili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.