Recent content by nyawari hill

  1. N

    Namchukia Magufuli from bottom of my heart

    Tatizo ni kwamba ataondoka akiwa ameshawaharibia kwani umri haumsubiri yet aondoke
  2. N

    Kwa tuhuma hizi, CHADEMA kifumuliwe na kiundwe upya

    We umekosea jina la chama . chama chenye sifa na tabia hizo mbona ni kile cha kijani
  3. N

    Bashe(Mb): Ipo siku watu watatafuta haki yao mtaani!

    Walishafundishwa unafiki ukiwa upande wao lazima useme ndiyo hata ukininginizwa kichwa kwenye tundu la choo Nape kasema atasimamia anachokiamini at least amejitahidi kuacha unafiki wao
  4. N

    Vikao vya bunge hatarini kufungwa kwa kukosekana pesa

    Namba itasomwa na kila mtu siyo wapinzani tu
  5. N

    Mapokezi ya Nape hayatofautiani na yale aliyopewa Marehemu Deo Filikunjombe

    Watavurugana na kutoa siri zao wenyewe kwa tusiyoyajua
  6. N

    PENDEKEZO: Serikali ipunguze Watumishi wa umma kubana matumizi

    Serikali awamu zote mambo yalienda swafii serikali ya sasa haijawahi kuajiri mnawaza kuwapunguza Hayo ni mawazo dumavu pelekeni compyuta shuleni zikasimame ubaoni
  7. N

    Rais Magufuli kutowaongezea mshahara walimu, CWT waja juu

    Asidhani anawakomoa Bali anaandaa vilaza wa baadaye walimu hawataandamana ila kitakachofanyika huko shuleni in mungu anajua
  8. N

    Rais Magufuli aache kupoteza muda kwa kuleta nchini viongozi wasio na tija!

    IPI bora kuwaleta nchini na kasafiri kuwafuata kwao embu nisaidieni
  9. N

    Kuna Dalili ya Serikali Kufilisika

    Mkurugenzi wa tanesco kisa cha kutangaza bei mpya ya umeme ilikuwa in kunusuru hali hiyo japo aliwafahamisha wakamgeuka na kumtumbua Leo wanahaha namna ya kuinusuru tanesco na madeni inayoikabili
  10. N

    Asikuambie mtu! Wahaya ni wazuri...

    Hiyo zamani hivi sasa makabila yote tu yanafanya hivyo
  11. N

    Rais Magufuli awaambia Waandishi wa Habari wawe makini, hawako huru kihivyo...

    Sasa ataeleza wanaompinga bashite wametumwa na waliotajwa kwenye madawa ya kulevya
  12. N

    Ukatili wa Kanisa Katoliki, Papa aomba msamaha

    Kama sikosei wewe ni msabato kwani in wapotoshaji wakubwa
Back
Top Bottom