Maua kilasa
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 1,040
- 560
Je wanajua English? Wasituaibishe huko.
Dr. Slaa hivi yupo?Tuacheni na hizi fikra za sexism; kwani umeambia anaenda kuwakilisha maumbile? au wanawake nao wampige kampeni wmanamme anayewavutia? na bado tunataka kuendelea? Kama lengo ni kuchagua wazuri basi wangeombwa watu wa Miss Bangusilo wawakilishe
Sijawahi kumuskia Makongoro akiongee kidhungu. Hata neno 1.Ndo wanaojua Kiingereza. Sasa watoto wa maskini wasome shule za kata afu wakatuwakilishe kwenye bunge linalotumia lugha ya Malkia mwanzo mwisho? Au unataka wasichangie chochote hadi wamalize term yao?
Nani alikuwa anamwagilia hii bustani kipindi cha jakaya?Alikuwa Mkuu wa wilaya Manyoni kipindi cha Jakaya
Aaaah Kumbe Ndo HuyuJK alimpa u-DC ila Magu akamtema!
Hahahahaaaaaaaaaa Miss BangusiloTuacheni na hizi fikra za sexism; kwani umeambia anaenda kuwakilisha maumbile? au wanawake nao wampige kampeni wmanamme anayewavutia? na bado tunataka kuendelea? Kama lengo ni kuchagua wazuri basi wangeombwa watu wa Miss Bangusilo wawakilishe
Binafsi nimeshangaa hiyo hali nikajiuliza labda wanawamarginalize watoto wa maskini baada ya kutupwa huko kwenye kata na kukosa political exposure.Sijawahi kumuskia Makongoro akiongee kidhungu. Hata neno 1.
Hata huyo wa Maghembe ni walewale. Hawa watoto wa wakubwa ni vilaza sn tumesomanao.
Kwa taarifa yako wapo vijana wa kimaskini na wana vigezo vyote.
Naahidi kukupigia kampeni kwa gharama zangu.
Hii ni ha maccm,Hii ndio akili ya maccmmmhhh
Makongoro anagombea kwa awamu ya pili, awamu ya kwanza alichaguliwa na alijieleza kwa kiingereza(ukitafuta clip yake mtandaoni utaipata). Ana kiingereza kizuri, ana flow nzuri ya hoja na tone na anaongea kwa kujiamini. Kwa kifupi, kiingereza chake ni above TZ average. Kina Le Mutuz walioishi USA miaka kadhaa walikuwa wanaongea kwa kigugumizi utafikiri konokono anapiga rivasi.Sijawahi kumuskia Makongoro akiongee kidhungu. Hata neno 1.
Hata huyo wa Maghembe ni walewale. Hawa watoto wa wakubwa ni vilaza sn tumesomanao.
Kwa taarifa yako wapo vijana wa kimaskini na wana vigezo vyote.
Mkuu wewe unataka tako gani zaidi ya hili sasa!Mjini tako...sura hukohuko kolomije.
Tako lenyewe la Bata hilo, amtake nani?