Mapokezi ya Nape hayatofautiani na yale aliyopewa Marehemu Deo Filikunjombe

Satuuuu

JF-Expert Member
Dec 3, 2015
1,849
1,993
Ninani asiyemkumbuka jembe na mpiganaji marehemu Deo F. ? Alisifika na kusikika kila kona ya Tz kwa jinsi alivyoendesha shughuli zake kisiasa jimboni Ludewa lakini leo hii atunae tena,R.I.P Brother .

Tukio la Nape kupokelewa kama shujaa na wananchi wa jimbo lake limekumbusha tukio ambalo marehemu Deo nae alipokelewa kwa shangwe nyingi pindi kile baada ya kusimama imara ktk kuusema ukweli na kuweka maslahi ya nchi mbele bila kuangalia mambo ya uchama bungeni.

Pongezi kwako Nape kwa mapokezi hayo uliyoyapata leo lakini fahamu yakwamba ndio umeanza safari nyingine ya siasa ktk maisha yako ambapo unaitaji kuwa imara zaidi lakini pia kuwa makini zaidi.
454b5facf8e32b7d81a41121189d3479.jpg
2f29eb5c8ac7d092bce57b426aa7e97c.jpg
bcc65fc3196be7abce930523bb5a4dce.jpg
1ce8fee6f15d61d00391a70ae39b46fc.jpg
 
Watu wamekodiwa fuso..watu wamekula hela nzuri tu..wanasiasa bwana..kwa nini kama anapendwa asiache mambo yaende natural..hizi artificial zinawagharimu sana viongozi wetu
Kwa hiyo Ccm mwendo wa artificial tuu siyo?
 
Kwa hiyo Ccm mwendo wa artificial tuu siyo?
Inakera mtu anapojifanya mzalendo huku nyuma anafanya maigizo.. Wamewatoa wazee vijijini wameacha wananyeshewa..Mimi nimembeba kwa gari yangu Mzee kutoka kiwalala kwenda nyengedi ..analalamika ana ngiri..yule Mzee hata fuso lile hawezi panda..hii ni laana
 
Inakera mtu anapojifanya mzalendo huku nyuma anafanya maigizo.. Wamewatoa wazee vijijini wameacha wananyeshewa..Mimi nimembeba kwa gari yangu Mzee kutoka kiwalala kwenda nyengedi ..analalamika ana ngiri..yule Mzee hata fuso lile hawezi panda..hii ni laana
Hamkuanza leo stunt hizi
 
shujaa analia kwa kutumbuliwa uwaziri????? angekuwa jasiri kwa nini asingesema kuhusu kupotea kwa ben akiwa waziri. anatafuta tu huruma aonekane mzuri wakati ni vuvuzela

Ndio Siasa Ulivyo!

Hata Lowassa na Mzee Kingunge walishiriki kuzima Rasimu ya Warioba wakiwa CCM lakin walipohamia Chadema wakaunga tela kuililia ile Katiba waliyoikataa wakiwa kwny Bunge la Katiba
 
Hamkuanza leo stunt hizi
Hii INA tofauti gani na kubadilishiwa gia angani kama alivyofanya mbowe..??yaani we na akili yako unaaminishwa kitu kwa miaka minane na nyaraka unaonyeshwa kisha siku moja tu unaambiwa sio kweli..kisha unaenda tu kama ling'ombe??!!
 
Kumbe ccm mnajua jinsi mnavyo zifanya siasa zenu lazima muanikane mpaka muwe uchi wamnyama
Inakera mtu anapojifanya mzalendo huku nyuma anafanya maigizo.. Wamewatoa wazee vijijini wameacha wananyeshewa..Mimi nimembeba kwa gari yangu Mzee kutoka kiwalala kwenda nyengedi ..analalamika ana ngiri..yule Mzee hata fuso lile hawezi panda..hii ni laana
 
Hii INA tofauti gani na kubadilishiwa gia angani kama alivyofanya mbowe..??yaani we na akili yako unaaminishwa kitu kwa miaka minane na nyaraka unaonyeshwa kisha siku moja tu unaambiwa sio kweli..kisha unaenda tu kama ling'ombe??!!
Tunaye mwona anawakilisha ni Mbowe au Nape? BOLD HEAD
 
Majuzi kamfunga m/kiti wa chadema ili apate kick jimboni,aligundua yule jamaa anamharibia jimboni
 
ANACHOKIFANYA NAPE NI UKUTA,ALIOUPINGA!!WAKOWAPI WALE POLISI NA WANAZUONI UCHWARA NA VIONGOZI WA DINI WALIOPINGA HII KITU!
 
Back
Top Bottom