Nilisha sema Iran anamjua adui yake wala haangaiki na distance fupi iliyopo baharini kwenye hizo Manual.
Chanzo cha ugomvi kitasema kuwa sasa inatosha.
Kuna kikundi kipo yemen kina eneo kubwa lakini kili sababisha mazito sana kwa ndugu zetu.
Wangeanza na kile kwanza kujipima nguvu kabla hawajafata eneo kubwa zaidi.
Wale hawapigani kwa kisa kuchokozwa ila kuto ongea na Wamerakani ipo damuni kwao. Na wanaweza wasijibu hata mapigo ila mtastukia israeli inatafuta sehem ya hifadhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.