Unajua Musa aliongea nae mwishoni akasema nataka nikuone sasa mda unafika wa kuonana na best yake Akaogopa.
Uwezo upo ila ni wa kipekee sana kuliko viumbe wote ila ukitaka zaidi hutoishi kwa Amani ukianza kuona vilivyo fichwa kwa lenzi ya kawaida utadata.
US anataka aweke kizuizi cha kuingia hapo gulf ina maana nae anatak aweke geti kwa mbele.
Ngoja tuone phase two itakuaje.
Wezang na mimi wese lipanda mpk july.
Na naona mgogoro kuisha mpk mpk kiongozi mkuu aseme neno lolote .sasa hawa wanaojitegemea tutasikia mengi sana kweny hii dunia.
Sio mda watasema tutafungua ila $3M.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.