Recent content by Nyaubikra

  1. Nyaubikra

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nilikutumia email kwa subject ya "pama" until now there is zero response.
  2. Nyaubikra

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Leo mangungu atafute pa kukaa
  3. Nyaubikra

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Leo lazma mapnduzi yafanyike
  4. Nyaubikra

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    Wanasimba Leo tususie kil kitu
  5. Nyaubikra

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ushawahi kusikia chuma kwa chuma then cheche ndyo hii.
  6. Nyaubikra

    Mnaokunywa Pombe kwanini mnatushawishi tusiokunywa?

    Maisha bila pombe yanakuwa maisha yenye huzuni Sana. Life ni kuwa na vibe na marafiki.
  7. Nyaubikra

    Wafungwa Wanawake wapatiwe tendo la ndoa?

    Ngono ishakuwa swala la msingi Sasa hapa tz
  8. Nyaubikra

    Natamani kumcheki lakini nashindwa kwa kuhofia kuonekana dhaifu kwake

    Kama una plan ya kuoa mtafute Ila Kama huna plan, ni mda wa kujiweka sawa kumtafuta mwengine. Huo ujinga utakuj kurudi tu siku 1
  9. Nyaubikra

    Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

    Hapo hata me ningekuwa na fanya kazi hapo lazma nitembee na life jackets Mana mda wowote hayo maji yanafanya jambo
  10. Nyaubikra

    Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

    Hiyo sio falls ni ziwa Hilo mnalisimbua kulibana bana na kitawakuta kitu.
  11. Nyaubikra

    M23 yaua wanajeshi 3 wa Tanzania huko Goma DRC

    Kitawaka sio mda tegemea wakimbizi wengi kutoka DRC labda raisi awe na amani tu Ila vikosi vitamwaga mvua ya kombola
  12. Nyaubikra

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Asma angepokea na angesema ulikuwepo ila katoka na we ungetoka mda huo kumsubiri Asma alewe then una warudia.
  13. Nyaubikra

    JamiiForums Usiku wa manane

    ngoja tufungue jicho la 3 sasa
Back
Top Bottom