Recent content by Nyaubikra

  1. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Haipo
  2. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Ni tumien lin ya the THE TOWN ile ya kituruki wanaoshindwa kutumia hela za magendo. Mana nmeshindwa kuipata wakuu.
  3. Nyaubikra

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya 50/50 binafsi mnitoe siyatakiiii

    Dr na mbn bado unasugua nembe
  4. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kunguru! tsh 7000 kwa kila mmoja

    We tafuta tu Mwenyewe.
  5. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Unajua Musa aliongea nae mwishoni akasema nataka nikuone sasa mda unafika wa kuonana na best yake Akaogopa. Uwezo upo ila ni wa kipekee sana kuliko viumbe wote ila ukitaka zaidi hutoishi kwa Amani ukianza kuona vilivyo fichwa kwa lenzi ya kawaida utadata.
  6. Nyaubikra

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi vibinti vya 2005 hadi 2010 nani ameviroga? Hii stamina na libido vimeitoa wapi?

    Mtoa mada ni bloku
  7. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ngoja nipige kimoja ndy nije nikae lindo.
  8. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Naona mpo kimya wakati dude la FROM. limeachiliwa huko hebu leteni link basi. @vicenzo_jr
  9. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    US anataka aweke kizuizi cha kuingia hapo gulf ina maana nae anatak aweke geti kwa mbele. Ngoja tuone phase two itakuaje. Wezang na mimi wese lipanda mpk july.
  10. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Huu muda wazee wana tengeneza arsenal zao vizuri. Interceptor zinawekw vzur kbsa Najua vita itaanz upya and this time gov zita collapse za kwet huk.
  11. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mungu ailinde middle east dhidi ya wapumbavu.
  12. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Na naona mgogoro kuisha mpk mpk kiongozi mkuu aseme neno lolote .sasa hawa wanaojitegemea tutasikia mengi sana kweny hii dunia. Sio mda watasema tutafungua ila $3M.
  13. Nyaubikra

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Himizeni nguvu ielekezwe kwa lile bomba mana naona Houth huko nae sio mda atatangaza yake kuwa anafunga pale juu.
Back
Top Bottom