Kwani Ulimwengu yeye ni nani? Mpaka umutolee mfano,naye ni binadamu kama watu wengine,kuna watu wakibaniwa maslahi yao hugeuka kuwa wapingapi.kuwa makini ndg haya mambo yaache tu.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia kufanya maamuzi magumu ndo hapo mkuu,huyo kwanza hana upendo mke mwenye upendo hawezi kukufanyia hivyo hata siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka hapo hakuna ndoa kwa sababu ukisema uendelee kuishi naye atakusaliti tu kwa sababu hiyo ndo tabia yake na hawezi kuacha,kwa nini uumie moyo na maisha yenyewe mafupi hivi...issue ya watoto siyo shida watakutafuta tu muhimu hapa amani ya moyo bro.Aondoke tu hiyo ndo itakuwa salama yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.