Recent content by nyanjiiii

  1. nyanjiiii

    Kama unaogopa hasara, baki na hela zako

    Ila ilikuwaga Tamu jamni ile soda
  2. nyanjiiii

    Picha: Nikiamka nazikuta chale, zinatoka wapi?

    Omba sana Mungu, mi yalishanikuta unaamka asbh unakuta kitu kama hivyo SAA nyingine katkat ya mapaja, kuja kuchunguza lumbe wenye ndo michezo yao, mwsh wasiku nikahama na sjawahi kutana na vibweka kama hivyo
  3. nyanjiiii

    Wake ni chanzo cha nyumba ndogo

    Kulea ni kazi kubwa sana mgekuwa mnabadilishana Leo zamu yake kushinda na watoto kuhakikisha nyumba safi akufulie mguo zako, watoto ukute chakula safi siku mojamoja ungejionea yaliyomo yamo
  4. nyanjiiii

    Salary slip hewani, no increment no ongezeko

    Hasa katika nchi ya kama hii, hatari Sana
  5. nyanjiiii

    Haya ndiyo majina pekee ya Wanawake wenye ' Baraka ' kama ukiwaoa mengineyo umejitafutia nuksi

    Kuna jamaa Yang WA karibu kaoa huyo Rahma ila maisha yalivyomgeuka had huruma, life limekuwa gumu hatari
  6. nyanjiiii

    Kwa watumishi wa Mungu Joel na Munalove

    Acha uduwanzi na story zako za kutengenezwa
  7. nyanjiiii

    Kwa watumishi wa Mungu Joel na Munalove

    Ulidhibitisha wapi kama mwingira kazaa na mke WA mtu au ndo story za magazeti? Mbona wat mnapenda kushadadia vitu vya kusikia?
  8. nyanjiiii

    Tatizo la ajali Mbeya haliwezi kumalizwa na Polisi pekee, washirikisheni Wazee

    Hafu ndo mji unaongoza kwa kuwa na makanisa mengi
  9. nyanjiiii

    USHUHUDA : Manabii wanaouza maji na mafuta yaliyoombewa…

    Watu Wang wanaangamia kwa kukosa maarifa, neno linatimia
  10. nyanjiiii

    Neria by Oliver Mtukudzi: Nani anaukumbuka?

    Yaan hii movie nilkuwa nikiiangalia lazima nilie, nilkuwa cjuagi kwanini ilkuwa vile
  11. nyanjiiii

    Vijana ni wakati wa kupiga pesa kwenye biashara ya mpunga

    Nilichojifunza kuna changamoto nyingi sana ktk kutafuta wapendwa, mfano mi nililima Mara ya kwanza hasara niliyoipata staweza sahau, lakini sikukata tamaaa na niliamni siku nitatoka, ni kweli nililima tena saivi nachekelee nafurahia ukulima Wang, kikubwa usiogope changamoto we pambana ipo siku...
Back
Top Bottom