Nikweli baadhi yetu tuna toa sana mwanya wa mambo kama hayo,je ukiwa kama mwanamme umejitahidi kiasi gani?
Nikweli kuna mda mtu unachoka na unafanya Tendo kwa sababu mwenzio anataka huna budi.
Mfano nikupe wangu naamka saa 10 alfajiri niamshe watoto kusali nimuamshe Hubby unajua ilivyotabu kuamsha watoto Asubuhi, nikimaliza naingia jikoni breakfast ya watoto chakula cha kuchukua watoto school,
Watoto wakisha toka nirudi kujitayarisha mimi kwenda kazini, narudi kazini saa 10 jioni kupika huku unaangalia Home work zao au kama Hubby yupo anawasomesha mie napika saa 2 chakula mpaka ulaze watoto ni saa 4 ndio napanda kitandani hoi
hapo sasa ukiombwa mapenzi hua unafanya tuu siku nyengine,ila kuna siku unakua active unafanya fully,na weekend sanaa mood inakua nyingi manake hakuna school wala kazi..