Maisha ya Saut yalikuwa matamu sana, nikikumbuka mashindano ya Fawasco, Prolife, nikikumbuka kusumbuana na washikaj kwenye kuandaa assaignment kwenda kupresent, quiz za kushtukiza, kuwa na kipindi siku ya Jmosi tena saa 9 mchana.
Sitasahau kamati kwa wale waliosoma Saut wanajua "kamati" "mzora"...
Hii GB 5 kwa 2000 kutoka voda nishaitafuta lakini wapi sijui ni vigezo gani vimetumika baadhi ya wateja kupewa kwenye menu yao me naambulia MB 400 kwa buku elfu 2 kwa 1.5GB zitumike ndani ya masaa 24
Kwa hayo majibu aliyomjibu huyu muuzaji masikini sijui alivyosoma tu akafikiria nn kichwani mwake, maana haiingii akili hata kidogo biashara na ilo jibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.