tutafanyaje ndugu yangu,japo ata mimi pamoja na sajili zote ila DM tungekua tumemaliza kila kitu..tukizingua pale kati sitajali usajil walio fanya ntamind sana kocha maana tatizo analijua vizur sana
kakosea sana na wala watu hawaongelei kwa chuki,sijui kwann ukikosoa kitu watu wengine wanaambatanisha kukosoa na chuki??kwanini??...ivi ukisema ili sio sahihi maana yake nikuwa una chuki na uyo mtu???.
kwaiyo mbeleni uko tuanze kulia upana wa kikosi? maana naona wanaotaka kuondoka ni wengi na next season nawaona chelsea na man city hawatakuwa na utani.
sijui benchi ndo watakuwepo wakina gomez,jones,endo na vitoto vya B team🤔🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.