Habari za Asubuhi wana jamvi,
Nimefikili sana juu ya Taifa langu Tanzania,
Ukujaribu kuangalia mataifa kama Rwanda na Kenya yanatumia mbinu za kila aina kuhakikisha kwamba yanakuwa na uwezo wa kwenda kuexpoloit mataifa jirani kwa manufaa ya wananchi wake.
Mfano mzuri ni Rwanda,Kagame yupo...
Salaam nyingi kwenu wana jamvi,
Nadhani wengi wetu tunakifahamu kipande cha barabara ipitayo karibu na hospital ya CCBRT.
Hiki kipande cha barabara kimeleta usumbufu kwa watumiaji kwa muda mrefu,mara nyingi kimekuwa kikiungwa ungwa kwa viraka tangu enzi za Mkapa.Nafikiri wajanja wa mjini...
JB belmont hotel iliyopo maeneo ya posta katika jengo la Benjamini mkapa Tower wameondoa mabango yao,nimeshindwa kuelewa maana yake.Je wamehamia sehemu nyingine au wameisoma number?
Naomba kusaidiwa.
Mwanzoni niliwasikia CHADEMA wakisema Ikulu inaongozwa kwa remote kutoka Msoga, baadae wakabadili gia angani wakisema anatekeleza sera za CHADEMA, baadae tena gia ikabadilishwa angani wakisema nguvu ya soda ataacha.
Rais Magufuli ameendelea kutoyumbishwa sasahivi nawasikia wakisema hafuati...
Mamlaka ya mapato Tanzania imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi za kitanzania trilio 1.032 katika mwezi May ambayo ni sawa na asilimia 100.7 ya lengo la kukusanya kiasi cha trilion 1.025 katika mwezi huo.
===========================
Ikiwa imewekewa lengo la kukusanya Sh12.054 kwa kipindi...
Habari wana jamvi,
Hii ni kero yangu binafsi nahitaji tusaidiane kujua ni lini serikali itaanza ujenzi wa barabara ya makongo/Ardhi kuelekea Goba.Hii barabara ni mhimu sana kwa wakazi wa Goba,mbezi na makongo.serikali imekuwa ikiweka kwenye budget ujenzi wa hii barabara kila mwaka lakini...
Naomba kusaidiwa.
nini tafasiri ya mpishano huu wa JK na Mkapa kwenda kumtembelea JPM ikulu.
kila mara huwa anaanza JK then anafuata Mkapa,kwa nini asianze mkapa then JK.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.