Lini Serikali itajenga barabara ya Makongo-Goba

NYAMY

Member
Feb 16, 2016
14
32
Habari wana jamvi,

Hii ni kero yangu binafsi nahitaji tusaidiane kujua ni lini serikali itaanza ujenzi wa barabara ya makongo/Ardhi kuelekea Goba.Hii barabara ni mhimu sana kwa wakazi wa Goba,mbezi na makongo.serikali imekuwa ikiweka kwenye budget ujenzi wa hii barabara kila mwaka lakini utekerezaji ni zero.Je hii tuiite ni budget hewa?

Nyamy.
 
Habari wana jamvi,

Hii ni kero yangu binafsi nahitaji tusaidiane kujua ni lini serikali itaanza ujenzi wa barabara ya makongo/Ardhi kuelekea Goba.Hii barabara ni mhimu sana kwa wakazi wa Goba,mbezi na makongo.serikali imekuwa ikiweka kwenye budget ujenzi wa hii barabara kila mwaka lakini utekerezaji ni zero.Je hii tuiite ni budget hewa?

Nyamy.
Mkuu kuwa nq subira bado ile bara bara haina tija kwa taifa kwa sasa zipo bara bara muhimu leo nimeshinda bara bara hizo zote kunzia wazo mpaka madale nikaja mpaka goba nikaenda mpaka uko makongo nimejionea hila hizina tija kwa bajeti ijayo tangi bovu goba mbezi kidogo useme wamalizie
 
Walipoweka ile lami pale Ardhi chuoni nikajua ujenzi umeanza kumbe ilikuwa mambo bado. Nadhani ni Barabara ya halmashauri sio TANROADS.
 
hili swali halima mdee alishaliulizaga bungeni na likajibiwa na naibi waziri sikumbuki majibu lakini muulize mbunge wako analo jibu
 
Siasa inachangia hilo mkuu kwa sababu ni himaya ya mdee lakini itajengwa masogange wa bashite anaishi huko hawezi kuacha baby msambwanda apate taabu Dona republic
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom