Recent content by Nyamtura

  1. Nyamtura

    Kumsimamisha Mbunge kuhudhuria Vikao Bungeni ni Kubaka Democracy

    kauli ya kwanza kuongea lws alitamka kua ccm si baba wala mama. jamani wakuu nani anajua magu anatupereka wapi??????
  2. Nyamtura

    Kwa wanaume tu: Ukiibiwa mke siku ya harusi utachukua hatua gani?

    ndo maana unaambiwa kabla ya kuoa kua na wapenzi zaidi 4ya wanne ili akijichanganya mmoja anakulupuliwa mwingine.
  3. Nyamtura

    Mwanamke amkimbia mumewe na kumuacha na mtoto wa miaka mitatu

    kumbuka hakuitoa mimba yako kuitupa .hakukurea wala kukujari. / alikujali na kukutunza kila sehem ila hakukuzaa. tumia akili ya ziada ANAWEZA KUPONA KWA KUPATA FIGO NA AKAFA KWA PRESHA.
  4. Nyamtura

    Siwezi kumsamehe muongo

    aisee wakuu mienikua nadanganya mpasehem abayo haisitaili ungo ikefika maal kumdaganya BOSI kimeota kibalua cangu. nawaza nifanyeje kuukwepa uongo?
  5. Nyamtura

    Nitaenda tena kanda ya ziwa kila likizo

    Ebana we! wengine ni wapiga kiashala ukijilengesha umekwisha.
  6. Nyamtura

    Mapenzi yanauma jamani

    inawezaka maana si hivihivi.
  7. Nyamtura

    Tuliozaliwa zamani kuna haya. Je, ulishawahi kukutana nayo?

    machache yanayojiludia mengine hatuyajui walio wengi.
  8. Nyamtura

    Jinsi limbwata lilivyoleta umasikini katika familia ya mama mwenye nyumba

    Odi umndan nimekua nifulaia jamii foram lwa kusoma habali2 nimeamua kuingia lasim. naomba kupokerewa!.
  9. Nyamtura

    Jinsi limbwata lilivyoleta umasikini katika familia ya mama mwenye nyumba

    jamani kuna wengine wanawaua kabisa wame zao. kuwapa limbwata hawaon shida.
  10. Nyamtura

    Fuatilia Uzinduzi wa Ripoti ya Benki ya Dunia kuhusu Viashiria Vya Utoaji Huduma (Afya & Elimu)

    Muda huu nipo kibaruani katika kituo kimoja cha afya cha umma, umbali wa mita 200 kutoka ziwani ila maji ya hakuna hapa tangu tupate uhuru, jiulize huduma za afya bila maji.......mengine ngoja ninyamaze isije kunigharimu ila.....
Back
Top Bottom