Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

khetewesa

Senior Member
Jul 30, 2012
112
25
Habari wana MMU,

Siku zote huwa naamini katika kumuandaa mwanamke wa ndoa na maisha. Umri wangu ulipofika napaswa niishi na mke sasa, maana kama maisha pakuanzia papo. Siku za nyuma nikiwa shule mabinti nilishawahi kuwa nao wote niliotengeneza mazingira yakuwaandaa leo hii wameolewa kwani mimi nilikuwa sisomi sina kazi hivo hata waliponiitaji nitamke neno nilikuwa kimya maana nikawa sioni lini maisha nitatoboa. Na wengine nilipendwa ila nikakwepa kwakutumia kigezo cha kazi kwani hata sikuwapenda kivile.

Ila nimeingia kazini sasa, kuna binti ambaye nimempenda na natamani nimuweke ndani lakini, amekuwa ni mgumu kufanya maamuzi, akidai ana mtu ila matamanio yakuolewa anayo sina mapenzi ya kisanii, ila nimekuwa mkweli kwake muda wote na uwezo wakukomaa nikapata mtu mwingine ila kwakulazimisha nafsi sana. Nawaza moyoni, nimeongea naye karibia mara tatu kwa muda tofauti na sasa nimemaliza mwaka mmoja toka nianze kuwasiliana naye je kuna siku atabadili msimamo wake nakuja kwangu? Au ni sawa nakusubiri mvua kipindi ambacho nikiangazi?

Ni mtu ambaye tunashirikishana maswala mengi yakimaisha nakusaidiana kwa kiasi chake. Namuheshimu na ananiaheshimu pia, ila when it comes to that point dah! Maumivu ni kwangu kama kuna wenye mfano na matukio kama haya basi tupeane uzoefu labda nikichuja utanisogeza kama huna la kuongea soma upite tu, kejeli mwiko hapa.
 
Hakuna cha mvumilivu kula mbivu. Anakupumzikia huyo.
Nakushauri kabla hujaoa atleast uwe na wasichana kama watatu au wanne pembeni ili ufanye uchaguzi sahihi.
Ukiwa na mmoja huyohuyo unakuwa myopic. Mapenzi yanakufunga macho huoni upande wake wa pili.
 
a
Hakuna cha mvumilivu kula mbivu. Anakupumzikia huyo.
Nakushauri kabla hujaoa atleast uwe na wasichana kama watatu au wanne pembeni ili ufanye uchaguzi sahihi.
Ukiwa na mmoja huyohuyo unakuwa myopic. Mapenzi yanakufunga macho huoni upande wake wa pili.
Asante mkuu.
 
kama kweli unampenda na unamalengo nae endelea kukomaa nae ipo siku atatambua hisai zako na kuona ww sio mbabaishaji unamalengo nae...
 
kama kweli unampenda na unamalengo nae endelea kukomaa nae ipo siku atatambua hisai zako na kuona ww sio mbabaishaji unamalengo nae...
Mi ningeshauri vinginevyo. Kwamba huyo mwanamke atamchukulia jamaa kuwa ni failure choice aka brand new second hand. Na wote tunajua jinsi ambavyo huwa tunavichukulia na kuhandle inferior materials. Badala ya kumuandaa huyo binti , azidi kumuomba Mungu ampatie ambaye ni fungu lake.
 
Dah ,,,kuna watu wanapendwa kweli wanazingua ...jamani mim kila wakati nimelia zaidi ya mara mbili kwa kuumizwa then nikaamua kumove on ...nataman hata kupata wakunifuta machozi lakin bado ni wasanii halafu huyo anapendwa lakin anazingua naumia ,,,khaaaa natamani ningependwa mim ...kweli ngombe wa maskini hazai
 
Back
Top Bottom