Habari wana MMU,
Siku zote huwa naamini katika kumuandaa mwanamke wa ndoa na maisha. Umri wangu ulipofika napaswa niishi na mke sasa, maana kama maisha pakuanzia papo. Siku za nyuma nikiwa shule mabinti nilishawahi kuwa nao wote niliotengeneza mazingira yakuwaandaa leo hii wameolewa kwani mimi nilikuwa sisomi sina kazi hivo hata waliponiitaji nitamke neno nilikuwa kimya maana nikawa sioni lini maisha nitatoboa. Na wengine nilipendwa ila nikakwepa kwakutumia kigezo cha kazi kwani hata sikuwapenda kivile.
Ila nimeingia kazini sasa, kuna binti ambaye nimempenda na natamani nimuweke ndani lakini, amekuwa ni mgumu kufanya maamuzi, akidai ana mtu ila matamanio yakuolewa anayo sina mapenzi ya kisanii, ila nimekuwa mkweli kwake muda wote na uwezo wakukomaa nikapata mtu mwingine ila kwakulazimisha nafsi sana. Nawaza moyoni, nimeongea naye karibia mara tatu kwa muda tofauti na sasa nimemaliza mwaka mmoja toka nianze kuwasiliana naye je kuna siku atabadili msimamo wake nakuja kwangu? Au ni sawa nakusubiri mvua kipindi ambacho nikiangazi?
Ni mtu ambaye tunashirikishana maswala mengi yakimaisha nakusaidiana kwa kiasi chake. Namuheshimu na ananiaheshimu pia, ila when it comes to that point dah! Maumivu ni kwangu kama kuna wenye mfano na matukio kama haya basi tupeane uzoefu labda nikichuja utanisogeza kama huna la kuongea soma upite tu, kejeli mwiko hapa.
Siku zote huwa naamini katika kumuandaa mwanamke wa ndoa na maisha. Umri wangu ulipofika napaswa niishi na mke sasa, maana kama maisha pakuanzia papo. Siku za nyuma nikiwa shule mabinti nilishawahi kuwa nao wote niliotengeneza mazingira yakuwaandaa leo hii wameolewa kwani mimi nilikuwa sisomi sina kazi hivo hata waliponiitaji nitamke neno nilikuwa kimya maana nikawa sioni lini maisha nitatoboa. Na wengine nilipendwa ila nikakwepa kwakutumia kigezo cha kazi kwani hata sikuwapenda kivile.
Ila nimeingia kazini sasa, kuna binti ambaye nimempenda na natamani nimuweke ndani lakini, amekuwa ni mgumu kufanya maamuzi, akidai ana mtu ila matamanio yakuolewa anayo sina mapenzi ya kisanii, ila nimekuwa mkweli kwake muda wote na uwezo wakukomaa nikapata mtu mwingine ila kwakulazimisha nafsi sana. Nawaza moyoni, nimeongea naye karibia mara tatu kwa muda tofauti na sasa nimemaliza mwaka mmoja toka nianze kuwasiliana naye je kuna siku atabadili msimamo wake nakuja kwangu? Au ni sawa nakusubiri mvua kipindi ambacho nikiangazi?
Ni mtu ambaye tunashirikishana maswala mengi yakimaisha nakusaidiana kwa kiasi chake. Namuheshimu na ananiaheshimu pia, ila when it comes to that point dah! Maumivu ni kwangu kama kuna wenye mfano na matukio kama haya basi tupeane uzoefu labda nikichuja utanisogeza kama huna la kuongea soma upite tu, kejeli mwiko hapa.