Mh Mama yetu kipenzi na Rais wetu nakusalimu Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza kabisa napenda kukupongeza kwa kazi nzuri unazozifanya kwa ajili ya kuiletea nchi yetu ya Tanzania maendeleo. Lakini kwangu naomba nichukue moja ambalo ninalichukua kurudia kukupongeza kwalo ambalo...
Napenda kuwapongeza kwa huduma nzuri mnazozitoa kupitia mtandao wenu. Japo takribani majuma matatu hapa Serengeti tuna changamoto za mtandao wenu uko very weak na wakati mwingine unapoteo. Hali inapelekea tunaathirika kwa mambo mengi yakiwemo yafuatayo:-
1. Upotevu wa vifurushi tunavyoviweka...
Napenda kuwapongeza kwa huduma mlizonazizito kupitia mtandao wenu. Lakini ni muda sasa takribani wiki 3 huku Serengeti tumekuwa tukiweka bundle lakini ni Kama zinapotea bure maana mtandao uko chini na huwezi mpigia simu mtu.
Sasa naomba either mtupe wateja wenu nini kinajiri au mrekebishe...
Mhe. John Pombe Magufuli, Rais wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI. Napenda kukupongeza kwa kukuza Demokrasia kwa kiwango kikubwa katika chama chetu na katika nchi yetu pia. Hali hii haijawahi kutokea toka kuundwa kwa taifa letu. Hakika...
Mh. John Pombe Magufuli, Rais wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Napenda kukupongeza kwa kukuza Demokrasia kwa kiwango kikubwa katika chama chetu na katika nchi yetu pia. Hali hii haijawahi kutokea toka kuundwa kwa taifa letu. Hakika...
Rais hapangiwi. Usitake Rais Magufuli afanye vitu kwa matakwa yenu. Leo atamwachia Kabendera kesho mtataka amwachie mwingine. Pia kutoa mfano wa wabakaji kuachiwa huo ni upuuzi. Hata Yesu aliwasamehe wazinzi ambapo kwa akili ya kibinadamu lilionekana ni kosa Kubwa na kuuwawa kwa mawe.
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.