Nyamtalakyono
JF-Expert Member
- Dec 17, 2015
- 795
- 479
Mhe. John Pombe Magufuli, Rais wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI. Napenda kukupongeza kwa kukuza Demokrasia kwa kiwango kikubwa katika chama chetu na katika nchi yetu pia. Hali hii haijawahi kutokea toka kuundwa kwa taifa letu. Hakika wewe ni mzalendo na mbunifu.
Hata hivyo kitendo cha kukuza Demokrasia katika chama chetu cha CCM kimefanya katika uchaguzi huu ndani ya Chama chetu Cha CCM watu wengi wa rika mbalimbali kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, kitendo ambacho kitaongeza mapato ya Chama kutokana na mauzo ya fomu. HAKIKA WEWE NI JEMEDARI.
Hata hivyo kitendo cha kukuza Demokrasia katika chama chetu cha CCM kimefanya katika uchaguzi huu ndani ya Chama chetu Cha CCM watu wengi wa rika mbalimbali kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, kitendo ambacho kitaongeza mapato ya Chama kutokana na mauzo ya fomu. HAKIKA WEWE NI JEMEDARI.