Kabla hujaenda kupima, fika mbele za Mungu wako tubu dhambi zako zote na uombe msamaha kwa yote uliyokwenda kinyume, then jikabidhi kwake atakupa nguvu na ujasiri utakwenda kupima na majibu yatakuwa salama tu. Kila la heri Kaka.
Mm ni binti, ninahitaji ushauri na msaada wa kitabibu pia if possible, toka nimekuwa (means nimepevuka) siku zangu yaani hedhi haziendi kwa mpangilio(yaani sina mzunguko maalum kama ilivyo kwa wanawake wengi). Mfano natoa summary ya siku zangu toka May 2012, mtiririko ni kama ifuatavyo nilipata...
I do real love him, nilitaka kupata maoni yenu ndugu zangu, na swala la kumwambia nilitaka ajue ili niwe na amani, coz siku akija kujua anawezakulipokea tofauti halafu itaniumiza sana. Asanteni wote, ushauri wenu nitaufanyia kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.