Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,300
alikuwa anatumia jina la BIKO
Asante mkuu
alikuwa anatumia jina la BIKO
Iddi Ligongo si ndio alitaka kujiua kisa penzi la Nora (kwenye maisha halisia)
Iddi Ligongo si ndio alitaka kujiua kisa penzi la Nora (kwenye maisha halisia)
Hivi Nora mwenyewe sasa hivi yuko wapi? Maana aliwahi kuolewa na mganga wa kienyeji nakumbuka wakaenda kuishi Botswana halafu wakamwagana akarudi hapa amechoka kabisa. Sipati picha sijui sasa hivi atakuwa anaonekanje?! Maana enzi zake naye alikuwa anavuta kama Lulu wa enzi za uhai wa Kanumba(Sio Lulu wa sasa mana naye kaanza kubomoka)Iddi Ligongo si ndio alitaka kujiua kisa penzi la Nora (kwenye maisha halisia)
Hivi Nora mwenyewe sasa hivi yuko wapi? Maana aliwahi kuolewa na mganga wa kienyeji nakumbuka wakaenda kuishi Botswana halafu wakamwagana akarudi hapa amechoka kabisa. Sipati picha sijui sasa hivi atakuwa anaonekanje?! Maana enzi zake naye alikuwa anavuta kama Lulu wa enzi za uhai wa Kanumba(Sio Lulu wa sasa mana naye kaanza kubomoka)
sijui atakuwa amepotelea wapi,ila kipindi chake alikuwa wamo,mi nilikuwa napenda tu anavyobembeleza kwa mahaba na sauti yake km ana mafua
Kweli ujana maji ya moto. Na wanawake pamoja na mikwara yote hawachelewi kuchakaa. Kuna huyu mwingine tena anaitwa Ubaya Sepeku pamoja na nyodo nyingi lakini kwishilia mbali!sijui atakuwa amepotelea wapi,ila kipindi chake alikuwa wamo,mi nilikuwa napenda tu anavyobembeleza kwa mahaba na sauti yake km ana mafua
Kweli ujana maji ya moto. Na wanawake pamoja na mikwara yote hawachelewi kuchakaa. Kuna huyu mwingine tena anaitwa Ubaya Sepeku pamoja na nyodo nyingi lakini kwishilia mbali!
Hahahaha! Wewe mgonjwa wa sauti
18 -28-32 ndio muda wa wanawake kujidai baada ya hapo hukaa bench.Kweli ujana maji ya moto. Na wanawake pamoja na mikwara yote hawachelewi kuchakaa. Kuna huyu mwingine tena anaitwa Ubaya Sepeku pamoja na nyodo nyingi lakini kwishilia mbali!
Naona ni kuanzia 15 maana hata ndoa inaruhusiwa hapo kibongo bongo18 -28-32 ndio muda wa wanawake kujidai baada ya hapo hukaa bench.
Iddi Ligongo,hivi alikuwa anatumia jina gani la kisanii vilee....?
Nora yupo wapi?Kweli ujana maji ya moto. Na wanawake pamoja na mikwara yote hawachelewi kuchakaa. Kuna huyu mwingine tena anaitwa Ubaya Sepeku pamoja na nyodo nyingi lakini kwishilia mbali!