Recent content by Nyalotsi

  1. Nyalotsi

    A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

    Amesahau black n' 😂😂😂😂😂
  2. Nyalotsi

    A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

    🤣🤣🤣🤣🤣
  3. Nyalotsi

    Natafuta mume

    😂😂😂😂😂
  4. Nyalotsi

    Aliyehukumiwa kunyongwa

    Sababu za kuua zilikuwa nini?
  5. Nyalotsi

    Mahakama yaamuru kupigwa mnada nyumba ya mjane ili kumfidia aliyeumia mguu kwa ajali ya bodaboda

    Kwenye sheria zetu za makosa ya barabarani hakunaga adhabu ya kumhudumia majeruhi. Hakimu amekuwa na mihemuko mingi mno.
  6. Nyalotsi

    Ni kosa kuzaa na binamu yako

    Binamu yako sio ndugu yako. Hasa hii binamu ya kiafrica. Sio cousin. Ni makubaliano ya kifamilia tu mnaoana
  7. Nyalotsi

    Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

    Ndio maana kuwa na mke zaidi ya mmoja Kuna umuhimu wake. Muda huu ungekuwa umetulia zako kwa mke mdogo unapapaswa
  8. Nyalotsi

    Rais Samia: Nimewatia wadhamini timu za Simba SC na Yanga SC

    Hapa Kuna rasilimali inauzwa ili tuambiwe ni udhamini wa yanga na simba. Mwekezaji anakuja kuwekeza kwenye mpira wa yanga na simba au anakuja kuvuna madini na pesa za bandari yetu? Tusipokaa sawa tunakuwa watumwa
  9. Nyalotsi

    Kabla dini za kigeni kuletwa Afrika, wazee wetu waliabudu nini?

    Waliabudu Mungu. Waliamini Kuna nguvu inayofanya kila kitu kitokee. Hivyo waliiomba kwa kila shida. Habari za mizimu ni za wakoloni na dini zao ili kuchafua Imani za kiafrica
  10. Nyalotsi

    Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

    Ukweli ni kwamba Kuna wake na wanawake. Wengi tumeoa wanawake!! Wenye wake ni wachache sana
  11. Nyalotsi

    Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  12. Nyalotsi

    Dkt. Tulia aitetemesha Mbeya. Atua kijeshi na ndege ya Jeshi

    Bila kusomba wanafunzi wa shule mbali mbali mkutano usingekuwa na watu. Mwambieni huyu dada Mbeya ni mji usiokuwa na miundombinu kabisa. Hakuna mpango wa ujenzi wa mji. Mitaa haipitiki. Mji unategemea bara bara moja tangu uhuru. Watakapoanza kuijenga kazi zitakuwa hazifanyiki.
  13. Nyalotsi

    Je, ni kiwango gani sahihi cha fedha kumpatia mzazi mwenzako kwa ajiri ya malezi ya mtoto?

    Unaweza Muacha huyo na ukaoa mwingine na usipate mtoto kabisa na huyo mwingine. Jitahidi kuwatunza. Nunua chakula na kila kitu weka nyumbani kwao kama unahisi hela zinakuuma. Muachie hela kiasi za mboga na dharula
Back
Top Bottom