Dume Jembe
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 707
- 768
Hebu tuambie kwanza ilikuwakuwa vipi ukazaa huyo mtoto
Na vipi baba mtu yuko wapi
Na vipi baba mtu yuko wapi
AmenMungu akukutanishe na mtu sahihi..
AmenMUNGU akupe hitaji la moyo wako.
NashukuruUtapata tu mtu dada. Hizi vurugu za huku zisikutoe kwenye lengo lako.
NashukuruUkikosa kabisa, nipo tayari kukupa kampani za hapa na pale.
ungekuwa muislamu @ mshana jr hana baya....Hello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT
Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia
Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi
Naimani nitampata humu ndani karibuni sana
Unapenda Kulea Yatima? Yupo ndugu wangu Anaweza Kufaa Ni Mpole Mtu mwenye Upendo ila anapenda kuishi na Watoto wenye mazingira Magumu. Umri ni 40s. Kama upo interested nicheki inboxHello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT
Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia
Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi
Naimani nitampata humu ndani karibuni sana
AmenNakutakia kila la kheri, ufunguliwe neema na umpate mwenza wako wa kuzeeka naye.
Achana na wajuaji wa JF wanaokubeza, wengi wao wameshashindikana tabia.
SawaHello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT
Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia
Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi
Naimani nitampata humu ndani karibuni sana
SawaHello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT
Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia
Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi
Naimani nitampata humu ndani karibuni sana
Huyo shida yake pesa siyo upwekeWanawake bhana,
Kuna mda hamuelewi mnataka nn
Yaani Wewe ndo mwenye shida,
unalalamika upweke unakutesa sana,
Afu Bado unaweka shart la "kipato Cha kutosha kuhudumia familia"
Nilitarajia sharti la "kampani" na "muda Kwa ajili Yako" ndo vingekua kipaumbele
😂😂😂😂😂1.Mwenye hofu ya Mungu
2.Mwenye upendo wa dhati
3.Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia
SASA MBONA UNATAFUTA WANAUME WATATU TOFAUTI?
Wenye kipato wameshachukuliwa.Hello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT
Sifa za mume:
Umri 37yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kipato cha kutosha kuhudumia familia
Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi
Naimani nitampata humu ndani karibuni sana