Ulipo weka Title yako tuuuuu, nilichoka. Acheni mambo ya kulia lia.... kwani wasio Waislamu wanapata wapi vya bure? Huku mtaani tunanunua maduka tofauti? Kwani tunapanda dala dala tofauti? Tunasoma shule tofauti? Mboa awamu ya 4 hizi hoja hazikuwepo?
Sikatai utafiti unaopendekeza... Ila mimi...
1. Niliwahi sema uongo kwa boss. Nilichelewa kufika airport nikamiss flight ya kwenda Moshi. Hakuwahi kujua maana nilichukua lori la magodoro nikafika asb kazi ikapigwa kama kawaida.
2. Sijawahi kudhulumu mtu.
3. Nitampa boss kilicho chake i.e. 90 maana ndio bei nitakayo uza hiyo bidhaa...
Nadhani ni muda mwafaka kwa Tanzania kusimama kiume. Hawa nyang'au lazima tuheshimiane. Kama Marais wawili wamezungumza kwenye media kuna sababu gani Kenya kufanya negociations tena ktk hilo? Hakuna sababu ya kuwalazimisha Waganada. Kama watawithdraw... ok. Ila sioni sababu ya EAC kama hali ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.