Nadhani mtoa mada hana ufahamu na umbali kwa kilomita alizozitaja. Mtu kutembea kilomita 60 kwa siku ni jambo la kawaida sana. Kwa mfano huo mwendo wa km 5 kwa saa ni mwendo mdogo sana. Mimi huwa nikipenda natembea chini ya nusu saa kutoka ofisini hadi nyumbani umbali wa kama km 4 hivi.
Hivyo...
Sheria inataka mtumishi akikatwa makato yote abakiwe na fedha isiyopungua 1/3 ya mshahara wake. Ikiwa na maana huyo ticha akikatwa piga ua anatakiwa achiwe 143,000. Hivyo mshahara wake unaweza kukatwa hadi asilimia 66 lakini asilimia 33 aachiwe mwenyewe.
hatari sana kaka, sasa makato ya HESLB...
Sheria inataka mtumishi akikatwa makato yote abakiwe na fedha isiyopungua 1/3 ya mshahara wake. Ikiwa na maana huyo ticha akikatwa piga ua anatakiwa achiwe 143,000. Hivyo mshahara wake unaweza kukatwa hadi asilimia 66 lakini asilimia 33 aachiwe mwenyewe.
Mkuu nakuunga mkono, CRDB inazingua sana.
Mimi nimeshajaribu kujiunga na Internet Banking zaidi ya mara tano kwa matawi matatu tofauti hadi leo kimya. Kila baada ya kujaza fomu naambiwa nitapokea email hadi leo tangu nijaze fomu ya mwisho mwezi umeisha email haijafika. Nadhani hawa jamaa...
Watu wanaroho ngumu, eti Madrid fomu yao imekuwa sio nzuri.Wakati ametoka kuwafunga kwenu tena Kipa ndye aliwabeba Buyern walikuwa wanakufa hata 5.
Leo hakuna nafasi ya buyern kumfunga madrid anakuja tu kukamilisha ratiba.
Hawa ndio madrid mabingwa wa kihistoria na mwaka huu wanaweka historia...
Dah:confused::confused::confused:!..
Hii dunia ya ajabu sana yaani watu wameshachagua serikali ya kuwapatia maji,madawa hospitalini,wanafunzi hawana madawati lakini bado wanataka wapinzani waongelee tena mambo hayo.
Sasa wataongelea wapi wakati nasikia mikutano ya hadhara imezuiwa,mikutano ya...
Habari zenu Wakuu.
Napenda kutoa pongezi kwa Mtandao wa Tigo Tanzania kwa kutambua wateja wao muhimu na kuwapa kipaumbele kwenye huduma zao.
Juzi nilipiga simu Tigo huduma kwa Wateja(Namba 100) na kupokelewa na maneno yanayosema "Wewe ni mteja wetu wa Muhimu simu yako haitowekwa kwenye foleni"...
Nimeelewa sasa,kuna mshikaji wetu tulikuwa tunamuita Engineer tangu Olevel na hakuwa na mpinzani katika masomo ya hisabati na fizikia lakini baada ya kufaulu vzr kabisa form 6.Hakutaka masifa tena ya Engineer akaenda zake kusoma Uhasibu hivi sasa tayari ana CPA yake na ameajiriwa sehemu nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.