Recent content by Nyagogo

  1. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Naipenda Jumamosi yangu - Stori bomba ya uhusiano

    Nime chukua sana,hizi story za kuishia katikati,ndio maana uwa sisomi hadithi za kibongobongo.
  2. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Naipenda Jumamosi yangu - Stori bomba ya uhusiano

    Sehemu ya 48 haina msisimko sana Ila bibi Naomi sio mshauri mzuri kabisa kwa binti yake anaibomoa ndoa ya binti yake hivihivi.
  3. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

    Haaaahaa hatari sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    Mkuu nisaidie number yako, ninashida na wewe. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mtu mwenye utaalam na Matikiti maji

    Miye natafuta soko nzuri, nimekaribia kuvuna.
  6. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Vijana turudi vijijini tununue ardhi ya kilimo

    Miye nahitaji heka tano mpaka kumi maeneo ya kanda ya ziwa tena ningependa eneo ambalo mpunga ustawi.
  7. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kilimo cha Azolla

    Ni kweli tupia hiyo azolla tuone.
  8. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

    Dada joy we ni jembe tena la ukweli, lkn hayo matusi makubwa waachie kina mange ambao akili imeshafwatuka, wengi tunakutazama kwa malengo chanya, ni mwanamke shupavu, so tunza heshima yako.
  9. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu anakoelekea siko

    Masikini namwonea huruma sana, nahisi hata yeye anajuta sana, lkn kwa vile moyo ni kichaka, analilia moyoni, baadhi ya mashoga zake wamemponza. Pole dada wema fanya juu chini uondoe huo mzigo utakuletea matatizo makubwa.
  10. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Yemi Alade kuifagilia Kenya, kunani?

    Mpole mkuu naona umesikitika sana.
  11. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Magufuli lazima awanyooshe viongozi vilaza.
  12. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Nchi hii ina viongozi wazuri na wabovu.
  13. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

    Da jen, shikamoo kubwa, hivi haya maneno ya kuchamba unatoa kwenye kamusi gani??
  14. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Mbegu bora inapatikana wapi?? Nataka nijaribu
  15. Nyagogo

    JamiiForums Tanzania Siku ambayo sitaisahau

    Tuliza mtima kwanza,husikimbilia kutafuta marafiki kwa haraka utazidi kuumia zaidi,jifariji mwenyewe kwanza..
Back
Top Bottom