Yemi Alade kuifagilia Kenya, kunani?

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,664
Hivi huyu dada aliwaza nini kuitaja Kenya katika nyimbo yake ya Na Gode aliyo iimba kwa kiswahili kwa hiyo aliona akiitaja Tanzania Hii nyimbo haita hit sana au? Watu wengine wanaboa sana

Samahani nimesahau hata kusalimia habari zenu wana JF

Mim nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wimbo wa Yemi alade Na Gode! Idea yake ilikuwa nzuri kwamba aimbe kwa kiswahili ndo maana version ya huo wimbo aliutoa kwa kiswahili kabla ya kuufanyia remix kwa kumshirikisha producer selebobo! Lengo lake la kuimba kwa kiswahili ni kutaka kuzidi kutusua Afrika mashariki hasa Tanzania

Kinacho niuma mimi ni kwanini aitaje Kenya katika huo wimbo akati watanzania ndo wamemfanya ajue kiswahili na ndio walio muinfluence kuimba kwa kiswahili,mwanzoni Yemi Alade bongo alikuwa hajulikani alipo kuja kutoa 'John' ndo kidogo wabongo wakamjua akapata na show yake ya kwanza afrika mashariki nahisi ilikuwa ni kuperform pale uwanja wataifa Alifanya show yake kuonesha aliko tokea hadi alipo hiyo show akaweka kajipande kashow katika video yake ya huo wimbo wa Na Gode akionesha yupo uwanja wa Taifa ana perform

Baadae ndo alikutana na kina Diamond akafanya nae wimbo coc studio diamond akaimba kwa kiswahili Yemi alade akafahamika Tz,baadae akawa anakutana na Akina Vanessa

Akashawishika kuimba kwa kiswahili wimbo ambao Tanzania ndo unapendwa sana kuliko Nchi yoyote Afrika! Alipo ona watanzania tunaupenda huo wimbo akaamua kuutoa kwa kingereza ili Nigeria nako uwe unapendwa

Sasa Kenya haijamsaidia chochote katika maendeleo ya mziki wake hata hicho kiswahili kukijua kenya haijamsaidia sasa kwanini aitaje Kenya aanaacha kuitaja Tanzania au hata Dar es salaam ambako alifanya show yake ya kwanza

Means huyu mkimama katudharau sana watanzania na katuona sisi wakuja sana.....Huyu aliwahi andika Tanzania ni second home leo anatuletea unafiki anaitaja kenya katika wimbo huo.......Bora hata English version ingekuwa ya kwanza kutoka na kaitaja kenya ningesema sawa kwasababu sisi wabongo kingereza hatujui! Sasa kaanza kwa kiswahili halafu anaitaja kenya ambayo haijampa mchango wowote hiyo ni Dharau kubwa kwetu Wabongo

Tangu nyimbo itoke nilikuwa namfikiria sana ila leo nimeamua kumwambia

Kama Yemi Alade upo hapa JF nakwambia tutakamatana ipo siku utaingia kwenye 18 zetu.....Endelea na wakenya wako
 
Husband wake ni mkenya halafu akitaja Kenya inakuuma nini wewe maana Kenya wanaongea Kiswahili ni sawa na uimbe wimbo kwa Kingereza then unasema "yeah yeah Tanzania"
Tofautisha ukubwa wa kiswahili nchini kenya na ukubwa wa kiswahili Tanzania! Lugha ya Taifa kenya ni Kingereza na Lugha ya Taifa Tanzania ni kiswahili

Labda kama alimua kutaja kwa sababu hus B wake ni Mkenya
 
Wimbo waliomsaidia kuandika ni sauti soul obvious ndio sababu kaipaisha Kenya
 
Hivi huyu dada aliwaza nini kuitaja Kenya katika nyimbo yake ya Na Gode aliyo iimba kwa kiswahili kwa hiyo aliona akiitaja Tanzania Hii nyimbo haita hit sana au? Watu wengine wanaboa sana

Samahani nimesahau hata kusalimia habari zenu wana JF

Mim nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wimbo wa Yemi alade Na Gode! Idea yake ilikuwa nzuri kwamba aimbe kwa kiswahili ndo maana version ya huo wimbo aliutoa kwa kiswahili kabla ya kuufanyia remix kwa kumshirikisha producer selebobo! Lengo lake la kuimba kwa kiswahili ni kutaka kuzidi kutusua Afrika mashariki hasa Tanzania

Kinacho niuma mimi ni kwanini aitaje Kenya katika huo wimbo akati watanzania ndo wamemfanya ajue kiswahili na ndio walio muinfluence kuimba kwa kiswahili,mwanzoni Yemi Alade bongo alikuwa hajulikani alipo kuja kutoa 'John' ndo kidogo wabongo wakamjua akapata na show yake ya kwanza afrika mashariki nahisi ilikuwa ni kuperform pale uwanja wataifa Alifanya show yake kuonesha aliko tokea hadi alipo hiyo show akaweka kajipande kashow katika video yake ya huo wimbo wa Na Gode akionesha yupo uwanja wa Taifa ana perform

Baadae ndo alikutana na kina Diamond akafanya nae wimbo coc studio diamond akaimba kwa kiswahili Yemi alade akafahamika Tz,baadae akawa anakutana na Akina Vanessa

Akashawishika kuimba kwa kiswahili wimbo ambao Tanzania ndo unapendwa sana kuliko Nchi yoyote Afrika! Alipo ona watanzania tunaupenda huo wimbo akaamua kuutoa kwa kingereza ili Nigeria nako uwe unapendwa

Sasa Kenya haijamsaidia chochote katika maendeleo ya mziki wake hata hicho kiswahili kukijua kenya haijamsaidia sasa kwanini aitaje Kenya aanaacha kuitaja Tanzania au hata Dar es salaam ambako alifanya show yake ya kwanza

Means huyu mkimama katudharau sana watanzania na katuona sisi wakuja sana.....Huyu aliwahi andika Tanzania ni second home leo anatuletea unafiki anaitaja kenya katika wimbo huo.......Bora hata English version ingekuwa ya kwanza kutoka na kaitaja kenya ningesema sawa kwasababu sisi wabongo kingereza hatujui! Sasa kaanza kwa kiswahili halafu anaitaja kenya ambayo haijampa mchango wowote hiyo ni Dharau kubwa kwetu Wabongo

Tangu nyimbo itoke nilikuwa namfikiria sana ila leo nimeamua kumwambia

Kama Yemi Alade upo hapa JF nakwambia tutakamatana ipo siku utaingia kwenye 18 zetu.....Endelea na wakenya wako
Mpole mkuu naona umesikitika sana.
 
Tofautisha ukubwa wa kiswahili nchini kenya na ukubwa wa kiswahili Tanzania! Lugha ya Taifa kenya ni Kingereza na Lugha ya Taifa Tanzania ni kiswahili

Labda kama alimua kutaja kwa sababu hus B wake ni Mkenya
Hata angeitaja bulgaria still hakuna hoja hapo
 
Hivi huyu dada aliwaza nini kuitaja Kenya katika nyimbo yake ya Na Gode aliyo iimba kwa kiswahili kwa hiyo aliona akiitaja Tanzania Hii nyimbo haita hit sana au? Watu wengine wanaboa sana

Samahani nimesahau hata kusalimia habari zenu wana JF

Mim nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wimbo wa Yemi alade Na Gode! Idea yake ilikuwa nzuri kwamba aimbe kwa kiswahili ndo maana version ya huo wimbo aliutoa kwa kiswahili kabla ya kuufanyia remix kwa kumshirikisha producer selebobo! Lengo lake la kuimba kwa kiswahili ni kutaka kuzidi kutusua Afrika mashariki hasa Tanzania

Kinacho niuma mimi ni kwanini aitaje Kenya katika huo wimbo akati watanzania ndo wamemfanya ajue kiswahili na ndio walio muinfluence kuimba kwa kiswahili,mwanzoni Yemi Alade bongo alikuwa hajulikani alipo kuja kutoa 'John' ndo kidogo wabongo wakamjua akapata na show yake ya kwanza afrika mashariki nahisi ilikuwa ni kuperform pale uwanja wataifa Alifanya show yake kuonesha aliko tokea hadi alipo hiyo show akaweka kajipande kashow katika video yake ya huo wimbo wa Na Gode akionesha yupo uwanja wa Taifa ana perform

Baadae ndo alikutana na kina Diamond akafanya nae wimbo coc studio diamond akaimba kwa kiswahili Yemi alade akafahamika Tz,baadae akawa anakutana na Akina Vanessa

Akashawishika kuimba kwa kiswahili wimbo ambao Tanzania ndo unapendwa sana kuliko Nchi yoyote Afrika! Alipo ona watanzania tunaupenda huo wimbo akaamua kuutoa kwa kingereza ili Nigeria nako uwe unapendwa

Sasa Kenya haijamsaidia chochote katika maendeleo ya mziki wake hata hicho kiswahili kukijua kenya haijamsaidia sasa kwanini aitaje Kenya aanaacha kuitaja Tanzania au hata Dar es salaam ambako alifanya show yake ya kwanza

Means huyu mkimama katudharau sana watanzania na katuona sisi wakuja sana.....Huyu aliwahi andika Tanzania ni second home leo anatuletea unafiki anaitaja kenya katika wimbo huo.......Bora hata English version ingekuwa ya kwanza kutoka na kaitaja kenya ningesema sawa kwasababu sisi wabongo kingereza hatujui! Sasa kaanza kwa kiswahili halafu anaitaja kenya ambayo haijampa mchango wowote hiyo ni Dharau kubwa kwetu Wabongo

Tangu nyimbo itoke nilikuwa namfikiria sana ila leo nimeamua kumwambia

Kama Yemi Alade upo hapa JF nakwambia tutakamatana ipo siku utaingia kwenye 18 zetu.....Endelea na wakenya wako
Ndugu nikupongeze kwa kubarikiwa wifu wa kiwango cha lami......ndugu unawivuu.......
 
Kenya hamna wasanii wengi, hivyo unaweza wateka mashabiki wa kenya kwa kuwataja tu ktk wimbo, fanbase ni muhimu sana! Kwa tz tuna wasanii wengi na wazuri, kuitaja tz pekee haupati kitu! Labda mwanaume wa Tz akugonge kama Zarindo labda una chans kwa mwanamke.
 
Kwenda kusaula nje ya nchi ndo kuipaisha Tz, kama umekosa la kuchangia pita kushoto, mijitu michizi kweli khaa!


Sasa nimekosa la kuchangia vipi, wakati hiyo uliyoijibu hapo Ni post yangu.
BTW Shilole yupo huu kuliko huyo Yemi Alade, hamuingii kwa vocal, uzuri wala kukatika. Na Kiswahili chenyewe Shilole akibahatishi anawakilisha mpaka next level
 
Tofautisha ukubwa wa kiswahili nchini kenya na ukubwa wa kiswahili Tanzania! Lugha ya Taifa kenya ni Kingereza na Lugha ya Taifa Tanzania ni kiswahili

Labda kama alimua kutaja kwa sababu hus B wake ni Mkenya
Kwa hili wengi tunakosea bila kufahamu. Lugha ya Taifa(National language) Kenya ni Kiswahili (Tangu Uhuru). Lugha rasmi (Official Languages) ni Kiswahili (Tangu 2010) na Kiingereza.
 
Unajua watu wengi wanajua kiswahili kinatokea Kenya, ndo mana nchi za watu walimu wengi wa kiswahili wanatokea kenya...watanzania tupo bize kulalamika na tume ya ajira..Tanzania...hahahahah....
 
Back
Top Bottom