Sidhani kama dunia yote wanatumia kiingereza nadhani kitumike inapotakiwa sasa kama shughuli zako asilimia 98 unaowasiliana nao wanaongea kiswahili hio English utaisemea wapi labda tubadili lugha ya taifa vinginevyo kama shughuli zako zinahitaji kiingereza utakijua tu utake usitake
Rais ana mamlaka ya kumsamehe mtu yoyote aliekwisha tiwa hatiani kwa kosa lolote haijalishi kabaka au kaua sheria imempa mamlaka kwa kosa lolote haijatoa excemption
Miaka ya nyuma ilikuja kitu kinaitwa oko eti tyre ikikanyaga misumari inajiziba wakaanza kuwekewa wabunge baada ya muda ikapotea kabisa na ufanyaji kazi wake ilibaki kitendawili hadi leo
mleta mada umechemka kwa taarifa yako mahoteli yote makubwa unayoyajua yanauzwa kitimoto pia sasa kuuzwa bwalo ndio iwe ishu kwani bwalo ni ya waislam tu kama ingekuwa bwalo ya waislam basi hakika hii ingekuwa ishu lakini kama ni ya watu wote basi umetokota sana
Maamuzi magumu siku zote ndio yanajenga hatma ya baadae binafsi namkubali zito ila pale inapokiukwa taratibu haifai kuoneana haya lazima sheria ifuatwe bila kujali aliekiuka ni nani na athari zake ni zipi ndio maana mnaona matatizo yanayotokea sasa kwa chama tawala ni kwa ajili ya kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.