Maumivu ya chalinze yamepungua umeanza kuja jf.
Mkuu pigania nchi yako mambo ya tanganyika tuachie wenyewe ..nchi haina bendera UN ulishawahi kuona nchi haina uanachama Fifa,mkuu changamkeni mpumue tanzania ndiyo tanganyika .Mtoto Thomas,
Maneno ya watanganyika juu ya kwamba zanzibar si nchi tunayaona kama vile ni hayatiliki maanani
Kwanza kabisa wewe unaonekana hujijuwi nafsi yako, chukuwa somo godo hapa
1. mimi mzanzibari hata ikiwa wewe unaniona znz kuwa sio nchi na serikali yetu ni sawa na TFF sawa tu lakini mimi ninajuwa kwamba znz ni nchi na serikali ya smz ni halali inayopigiwa kura.
2. tatizo liko kwako wewe huna nchi, huna utaifa kwasababu tanzania sio utaifa, tz ni muungano wa mataifa 2 wewe lako umeliuwa sisi letu tunalipenda na kulifagilia. wewe mjomba ni refugee tu ndani ya nchi yako, ikiwa una nchi wewe niambie ni nani raisi wako?
Mtoto Thomas,
Maneno ya watanganyika juu ya kwamba zanzibar si nchi tunayaona kama vile ni hayatiliki maanani
Kwanza kabisa wewe unaonekana hujijuwi nafsi yako, chukuwa somo godo hapa
1. mimi mzanzibari hata ikiwa wewe unaniona znz kuwa sio nchi na serikali yetu ni sawa na TFF sawa tu lakini mimi ninajuwa kwamba znz ni nchi na serikali ya smz ni halali inayopigiwa kura.
2. tatizo liko kwako wewe huna nchi, huna utaifa kwasababu tanzania sio utaifa, tz ni muungano wa mataifa 2 wewe lako umeliuwa sisi letu tunalipenda na kulifagilia. wewe mjomba ni refugee tu ndani ya nchi yako, ikiwa una nchi wewe niambie ni nani raisi wako?
Karume aliwahi kusema ccm wana ubongo wa samaki!!
Passport unayo?Mtoto Thomas,
Maneno ya watanganyika juu ya kwamba zanzibar si nchi tunayaona kama vile ni hayatiliki maanani
Kwanza kabisa wewe unaonekana hujijuwi nafsi yako, chukuwa somo godo hapa
1. mimi mzanzibari hata ikiwa wewe unaniona znz kuwa sio nchi na serikali yetu ni sawa na TFF sawa tu lakini mimi ninajuwa kwamba znz ni nchi na serikali ya smz ni halali inayopigiwa kura.
2. tatizo liko kwako wewe huna nchi, huna utaifa kwasababu tanzania sio utaifa, tz ni muungano wa mataifa 2 wewe lako umeliuwa sisi letu tunalipenda na kulifagilia. wewe mjomba ni refugee tu ndani ya nchi yako, ikiwa una nchi wewe niambie ni nani raisi wako?
Angekua CDM angeitwa Mchagga kaongea,sasa sijui tumuite ------?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Haha..niliona ktk sherehe za mapinduzi siku jamaa walikuwa wakivunja mawe na vichwa...sasa aangalie sherehe za muungano wiki ijayo ndio ataelewa vzr kama rais wa Zenj ni kama wa TFF au la. Kwenye hizo sherehe Jei Kei atashiriki tu kama rais wa chama cha netball tanzania (CHANETA)
Ambao wote ni wateule wa rais ambae ni mwenyekiti wa ccmHapana hapana hapana hapana hapana walioko bungeni siyo ccm pekee wapo wakulima,wavuvi,wafugaji,watumishi wa mungu na vyama vya siasa visivyo na wabunge.
sasa aangalie sherehe za muungano wiki ijayo ndio ataelewa vzr kama rais wa Zenj ni kama wa TFF au la. Kwenye hizo sherehe Jei Kei atashiriki tu kama rais wa chama cha netball tanzania (CHANETA)
Kweli kabisa mkuu. Hawa wanavimba kichwa kwa sababu ya kuvaa koti la muungano, hebu tuweke sasa utaratibu wa uvaaji huo wa koti kwa zamu japo wa miaka mitano mitano tuone watasemaje. Kama hawakuuvunja muungano.Mtoto Thomas,
Maneno ya watanganyika juu ya kwamba zanzibar si nchi tunayaona kama vile ni hayatiliki maanani
Kwanza kabisa wewe unaonekana hujijuwi nafsi yako, chukuwa somo godo hapa
1. mimi mzanzibari hata ikiwa wewe unaniona znz kuwa sio nchi na serikali yetu ni sawa na TFF sawa tu lakini mimi ninajuwa kwamba znz ni nchi na serikali ya smz ni halali inayopigiwa kura.
2. tatizo liko kwako wewe huna nchi, huna utaifa kwasababu tanzania sio utaifa, tz ni muungano wa mataifa 2 wewe lako umeliuwa sisi letu tunalipenda na kulifagilia. wewe mjomba ni refugee tu ndani ya nchi yako, ikiwa una nchi wewe niambie ni nani raisi wako?
Mkuu, sina kumbukumbu za sherehe ya muungano kufanyika Zanzibar.Mzee umekosea kwenye sherehe za MUUNGANO JK huibuka kidedea (Sijafuatilia sherehe za muungano zikiadhimishwa Zanzibar huwa inakuwaje Kati ya JK na Shein?!. Kwenye sherehe za Mapinduzi "MATUKUFU" ya Zanzibar JK huwa ndiyo anashiriki kama RAIS WA CHANETA. Hili ameliongelea vizuri sana Mh. Mbatia na Rukia Salum kwenye BMK.
Imejidhihirisha kwa askofu Mtetemela. Nadhani anakadi ya chama.Ambao wote ni wateule wa rais ambae ni mwenyekiti wa ccm