Mimi ni mpinzani mkubwa wa serikali ya MAGAMBA, lakini juu ya ili sioni kama rais wetu aliyechaguliwa na watanzania wenzetu kama ana KOSA lolote lile yaani kwa ujumla yuko SAHIHI KABISA
Waje kwenye midahalo hapo tutawaamini kwa yale wayasemayo, lakini anaongea na familia yake na wewe KIBARAKA wake unatuletea sisi huku huo utumbo, ukweli upo wakutanapo wenye akili ktk meza moja tumewachoka wazee wa kuepa hamna HOJA MAGAMBA
Scramble wewe tatizo lako ni muoga hata kwa haki yako, unazani tokea lini ushaidi akapewa anaye tuhumiwa? Tafakari wewe iz zama zingine mkuu au bado unapokea darasa la MWIGULU?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.