Mimi ni mfugaji mdogo mdogo wa ndege aina ya kanga nimekuja hapa kuomba msaada
Mifugo zangu zimekumbwa na ugonjwa wa mafua wote wakubwa kwa vifaranga nisaidieni jamani ni aina gani ya dawa inayotibu mafua kwa vifaranga wadogo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.