Yamenikuta chumbani kwa Kimchepuko changu...

Yamenikuta chumbani kwa Kimchepuko changu...

Njiq ziko mbili.
1. Lala mpaka usiku kwani wakilala tuu binti atakutorosha,
Hapa ningeshauri ukaingia chini ya uvungu kabisaa

2. Roho ngumu we toka humo ukiwa umekaza jicho, mpe hi mzee akikusemesha mwambie utamwambia mke wake kwa ulichokiona hafu toka taaratibu kwa kujiamini
Wakati huo atakuwa bado amepigwa na butwaa ukifike nje tuu aseeee fanya mazoezi ya mbio ndefu

Msaada ni huo.

Kuna hii ya kujifanya mzimu naona haitokufaa
Unajipaka unga wa ngano mwili woote hafu unamtisha mzee kwa nyuma, akitishika tuu unamwamuru aingie chumbani wewe unavaa nguo zako unasepa.
Hii inafaa sana usiku mkuu mchana huu usijaribu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee baba hapa umetisha..sasa unga wa ngano anaupata wapi mkk[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom