Recent content by NURURASHID

  1. NURURASHID

    FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

    Wydad apate sare na Jwaneng then nimtwange Jwaneng mbili kwa mkapa!!! Robo hii hapa
  2. NURURASHID

    FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

    Wydad apate sare na Jwaneng then nimtwange Jwaneng mbili kwa mkapa!!! Robo hii hapa
  3. NURURASHID

    Sebastien Haller: Kutoka kupambana na Saratani hadi kuwa shujaa wa Ivory Coast

    Kila uvimbe ni kansa mpaka itakavothibitika tofauti, Tezi inaweza kuvimba ikawa kansa au sio kansa, wataalamu watafanya biopsy kuona uwepo wa seli za saratani ktk uvimbe. Mpaka kuandikiwa Chemo ujue wajomba wameiona saratani, mwamba ameishinda kansa.
  4. NURURASHID

    Sebastien Haller: Kutoka kupambana na Saratani hadi kuwa shujaa wa Ivory Coast

    Kwa watu wote wanaopambana na kansa huu ni ushindi, kwamba hata kama nitakufa kesho lakni kuna mmoja aliwahi ishinda kansa na kuionyesha dunia kwamba inawezekana.
  5. NURURASHID

    Hungary: Rais ajiuzulu kwa kumpa msamaha mtu aliyehusishwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto

    Hii ndo tunaita uwajibikaji!!! Being full responsible for the mistake (s) you did and apologizing etc.
  6. NURURASHID

    Unaweza kurudisha Muamala wa Fedha iliyotumwa kimakosa kwenye akaunti yako ukiwa umefulia mbaya?

    Huwa nikipata pesa bila taarifa siitoi Kwa muda wa saa 48 au zaidi ili kwamba imekosewa irudi ilipotokea, vinginevyo ndani ya muda huo huwa napigiwa simu ya hama pesa imekosewa au kuna mtu kanilipa.
  7. NURURASHID

    DAR: Afisa Afya Buguruni ashtakiwa kwa Ubadhirifu wa Tsh. Milioni 62

    Nilitamani sana kujua sana hizo pesa Mil 62 zimefika vipi kwenye mikono ya Afisa Afya wa Kata, hii habari ikamilishwe vizuri!!! Kwani hawa watu wanakuwa na mafungu!?
  8. NURURASHID

    Serikali yasitisha Bei Mpya za Kitita cha Bima ya Afya ya NHIF

    NHIF licha ya changamoto zote, wanafanya kazi nzuri sana!!! Mungu ayabariki mawazo ya mwanzilishi wa mfuko. Ukikatwa iko ki 3% na kama haujawahi kupatwa na magonjwa huwezi elewa!!!
  9. NURURASHID

    Uahirishwaji wa Kesi katika Mahakama za Tanzania ni tatizo kubwa linalochelewesha utoaji wa Haki

    Kwann wakili asifike na file la kesi!!? Nadhani hii itizamwe kama hujuma
  10. NURURASHID

    Nimepata mgeni yuko rafu sana

    Kweli mvumilie kidogo tu, mara nyingi ustaarabu wa mjini na kijijini ni tofauti, mtu akileta mambo ya kijijini town lazma iwe shida . Lakni vumilia siku kuu zitaisha atarudi kwao.
Back
Top Bottom