TIS wawe na elimu ya kitechnologia sio kwenda kurukaruka huko CCP na kurudi kuvaa miwani nyeusi na kutembelea magari mapya yenye No A elimu yao iwe inaweka nidhamu mbele kwa kiasi kikubwa sio kutunishiana bar na kusema unajua mim ni nani? hiyo intelejensia ya Israel inaingia nchi nyingine kwa...
Wazo zuri sana ila kwa kuchangia me nafikiri waanze na apertment za wafanyakazi wa serikali kwanza kama waalimu, madaktari kuwe makato madogo kwenye mshahara kwa ajili ya house rent umeme na maji, internet ziwepo na zikatwe direct kwenye mshahara then baadae zija za wafanyabiashara waliokuwa...
Baada ya kutokea machafuko wanasiasa wanaosubiri kuteuliwa hawana haja ya kutoa pole kwa wafiwa au kuonyesha kuguswa kwa yaliyotokea hadi pale Rais atakapoonyesha amechukizwa na hilo
Hili lilikua dili la serikali kupata pesa huko japan hata ukiwa unaendesha gar unaweza ukaswitch tv ukaangalia taarifa ya habari sasa huku hadi mabasi yanafungwa madishi ya azam sasa huu si zama za mawe
Kupewa tende bure ndio usikose hata akili za kufikiria, hospital inawafanyakazi 1500 then serikali ndio ilipe mishahara ya wafanyakazi wote utakuwa unakichaa cha madrasa wewe taasisi inajitegemea yenyewe serikali imesomesha watu imekosa kwa kuwapeleka ndio maana inasambaza madaktari wenye hizo...
Kumbe akili hauna nani amekwambia wanachukua hela ya Serikali uliza uambiwe usikurupuke we unadhani KCMC kupewa mitungi hiyo ni kwamba ilikua haina mitungi yake au? Unajua kwa ukanda wa Kaskazin yenyewe ndio moja ya hospital inayozalisha oxygen yake na kusambazia hospital zingine kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.