Recent content by Nukta5

  1. Nukta5

    Darasa Huru Lyrics by Jose Mtambo

    Kati ya Chorus bora kuwahi kutokea toka bongo fleva ianzishwe basi ni hii ya darasa huru
  2. Nukta5

    Mahmoud Ahmadinejad Rais wa zamani wa Iran naye auawa

    Ukitaka kuwajua hawa MOSSAD angalia hii min series inaitwa THE SPY 2019
  3. Nukta5

    Mashambulizi ya Israel + USA dhidi ya Iran yanakupa taswira Gani kuhusu uwezo wa kijeshi wa JWTZ

    TIS wawe na elimu ya kitechnologia sio kwenda kurukaruka huko CCP na kurudi kuvaa miwani nyeusi na kutembelea magari mapya yenye No A elimu yao iwe inaweka nidhamu mbele kwa kiasi kikubwa sio kutunishiana bar na kusema unajua mim ni nani? hiyo intelejensia ya Israel inaingia nchi nyingine kwa...
  4. Nukta5

    Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    Wazo zuri sana ila kwa kuchangia me nafikiri waanze na apertment za wafanyakazi wa serikali kwanza kama waalimu, madaktari kuwe makato madogo kwenye mshahara kwa ajili ya house rent umeme na maji, internet ziwepo na zikatwe direct kwenye mshahara then baadae zija za wafanyabiashara waliokuwa...
  5. Nukta5

    GE2025 Wanaosubiri uteuzi hawaruhusiwi kuonyesha simanzi ya yaliyotokea

    Baada ya kutokea machafuko wanasiasa wanaosubiri kuteuliwa hawana haja ya kutoa pole kwa wafiwa au kuonyesha kuguswa kwa yaliyotokea hadi pale Rais atakapoonyesha amechukizwa na hilo
  6. Nukta5

    Movie za mafunzo zenye maudhui ya Kikristo

    Tafuta The Forge 2024
  7. Nukta5

    My personal Top 10 list ya movie za kusikitisha nilizobahatika kuona

    Ongeza na John Q ya Denzel Washington
  8. Nukta5

    Smart TV yenye DVB T2/S2 Ina Faida gani Kwa Soko la Tanzania ikiwa Channels zimezuiliwa kuonekana kwa kutumia builtin Decorder? Wizara Husika?

    Hili lilikua dili la serikali kupata pesa huko japan hata ukiwa unaendesha gar unaweza ukaswitch tv ukaangalia taarifa ya habari sasa huku hadi mabasi yanafungwa madishi ya azam sasa huu si zama za mawe
  9. Nukta5

    Router (MiFi) ipi inafaa kwa matumizi binafsi?

    Natumia tigo router postpaid 100k napewa 140GB sijawahi ijutia kuanzia 2021
  10. Nukta5

    Ndugu zangu Waislamu mmeshindwa vipi kuwa na hospitali kubwa Kama KCMC na Bugando?

    Kupewa tende bure ndio usikose hata akili za kufikiria, hospital inawafanyakazi 1500 then serikali ndio ilipe mishahara ya wafanyakazi wote utakuwa unakichaa cha madrasa wewe taasisi inajitegemea yenyewe serikali imesomesha watu imekosa kwa kuwapeleka ndio maana inasambaza madaktari wenye hizo...
  11. Nukta5

    Ndugu zangu Waislamu mmeshindwa vipi kuwa na hospitali kubwa Kama KCMC na Bugando?

    Kumbe akili hauna nani amekwambia wanachukua hela ya Serikali uliza uambiwe usikurupuke we unadhani KCMC kupewa mitungi hiyo ni kwamba ilikua haina mitungi yake au? Unajua kwa ukanda wa Kaskazin yenyewe ndio moja ya hospital inayozalisha oxygen yake na kusambazia hospital zingine kwa hiyo...
  12. Nukta5

    Toa list ya nyimbo zako kali za zamani "best of all times"

    Hahahhaahha Zig D eno mic
  13. Nukta5

    Nini faida na hasara za gari aina ya Toyota Premio kwa engine za D4?

    2020 nilifanya maamuzi ya kuchukua premio 1980cc ya mwaka 2009 ulaji wake upo vizuri sana japo ni engine kubwa na sijajutia hadi sasa
Back
Top Bottom