Habari wana jamvi. Kutokana na changamoto ya gharama za vifurushi tunaelezwa kuwa angalau tukitumia router inapunguzakwa kiasi fulani.
Sasa naomba kujua router (MiFi) ya kampuni gani ni nzuri? Kwa maana speed, gharama lakini pia na uwezo wa kupatikana maeneo mbalimbali maana mi ni mtu wa kusafiri wakati mwingine nakuwa shambani ambako kimsingi mitandao ya simu inapatikana.
Asanteni
Sasa naomba kujua router (MiFi) ya kampuni gani ni nzuri? Kwa maana speed, gharama lakini pia na uwezo wa kupatikana maeneo mbalimbali maana mi ni mtu wa kusafiri wakati mwingine nakuwa shambani ambako kimsingi mitandao ya simu inapatikana.
Asanteni