Recent content by ntugwa12

  1. ntugwa12

    Tundu Lissu: Nape si shujaa, amevuna alichokipanda!

    Muda mwingne viongoz wetu hawana sauti, they're voiceless, kila wanachofanya wanajitahid kumfurahisha aloyewateua
  2. ntugwa12

    Seif: Siku za Lipumba zinahesabika

    Sarakasi za kisiasa zinaendelea kutawala ndani ya chama cha CUF baada ya Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, kudai kuwa Profesa Ibrahim Lipumba anatumiwa kukihujumu chama hicho. Maalim Seif alimtuhumu Profesa Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa CUF, anayetambuliwa na ofisi ya Msajili wa...
  3. ntugwa12

    20 Wauawa kwa sumu Kali

    Awapa sumu na kuwaua watu 20 kwenye madhabahu Pakistan Takriban watu 20 wameuawa na wengine kujeruhwia kwenye madhababu yaliyo mji wa Sargoda, mkoa wa Punjab nchini Pakistan. Naibu kamishna wa polisi Liaquat Ali Chatta, alisema kuwa mshukiwa mkuu ni mhudumu wa madhabu hayo Abdul Waheed...
  4. ntugwa12

    Shy-Rose Bhanji aendelea kububujikwa machozi dhidi ya maamuzi ya Magufuli

    Mbn na yy Kayla muda mregu huko eala? Aache tamaa ,tunahitaji damu changa tuone zinatuwakilishaje
  5. ntugwa12

    Tujifunze Nini kwa Hawa Viongozi wanaotembelea Tanzania

    Ni waz kuwa Tz inaelekea kwenye utawala wa kiimla, kana kwamba uongozi uliopo madarakani haupo tyr kuachia ngazi! Hiyo n ishara tosha kuwa huenda wakawa wanapewa mbinu mbdala za kuweza kuzorotesha upinzani!
  6. ntugwa12

    Magazeti ya Kesho 30/03/2017 na Makonda.

    Aiseee tatizo nn Rufiji? Viongozi wataishaaa jamani , serikali iko wapi?
  7. ntugwa12

    Mauaji Pwani: Ikwiriri, Kibiti, Njopeka kutembea mwisho saa 3 usiku

    Kwel Kk, mm mwenyewe nimewahi kufika kijiji kimoja wanakiita #jaribu, viongozi hawana amani, wengine mpka wamekihama kijiji! Ama hakika kibiti hakuna amani tena! Wizara yenye dhamana ya ulinz wanatakiwa waliangalie suala hili kwa jivho la tatu ili kuboresha amani!
  8. ntugwa12

    Leo ITV habari kama kipindi maalumu

    Tz ya ajabu sana!
  9. ntugwa12

    Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

    Saf sana kitenge, umeonesha ushujaa sana kaka, wewe umeonesha uhodar,
  10. ntugwa12

    Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

    Huyu dg hawez kiki, bastola aonyeshewe mwingne, yy ageuke kuwa baja, inaingia akilini kweli hii? Kumbe ata mose iyobo akimpa bit kiduchu tu atsnywew
  11. ntugwa12

    Mawaziri wafuatao wanastahili kujiuzulu kumuunga Nape Mkono

    Umoja zero kwa viongoz wa ktz, kamwe hawawez kujiuzulu
  12. ntugwa12

    Mkurugenzi wa vipindi Clouds, Ruge Mutahaba alaani RC Makonda kuvamia ofisi zao

    Kwenye point yako ya tatu, Katika habari kama alivyoeleza ruge Jana lazma ubalance story yako ili iwe habari, kwenye kumshawishi gwajima aende akahojiwe hilo sio jukum la mkurugrnzi, yy huenda alipigiwa na gwaj,kwa kuwa tu ndio mkuu wa vipind lkn na suala la kutafuta sources halimhusu ruge...
  13. ntugwa12

    Watanzania ni debe shinda!

    Habari wadau, Leo nimejitokeza ktk uwanja huu kuweza kuwasilisha maoni yangu dhidi ya hali yetu watz jinsi tunavyochukulia vitu/mambo Mosi, kama headline inavyosomeka ,sisi watz n debe shinda,hivyo tukitiswa ,lazma tuangue kelele zisizo na mantiki! Unajua kwanini nimesema hivi? Mwanzoni...
Back
Top Bottom