Habari wadau, Leo nimejitokeza ktk uwanja huu kuweza kuwasilisha maoni yangu dhidi ya hali yetu watz jinsi tunavyochukulia vitu/mambo
Mosi, kama headline inavyosomeka ,sisi watz n debe shinda,hivyo tukitiswa ,lazma tuangue kelele zisizo na mantiki!
Unajua kwanini nimesema hivi?
Mwanzoni...