Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Leo Waziri mkuu wa Ethiopia ameanza ziara ya kutembelea Tanzania. Nchi hii ina rekodi mbaya sana katika masuala ya Demokrasi, upinzani ni marufuku, viongozi wengi wa upinzani wapo jela, waandamanaji wanapigwa risasi.
Rais wa Uturuki alitembelea Tanzania na huyu kiongozi hataki upinzani nchini mwake wapinzani wengi wamefungwa na kwasasa ana mpango wa kubadilisha katiba ili atawale mpaka mwaka 2030.
Rais wa Rwanda alitembelea Tanzania na huyu kiongozi hakubali demokrasia ndani ya nchi yake wapinzani wengi wameuawa na wengine kufungwa.
Rais Museveni alitembekea Tanzania, ni kiongozi aliyetawala kimabavu kwa muda wa zaidi ya miaka 30 chaguzi zote zinazofanyika nchini humo yeye hutangazwa mshindi, wapinzani huwa wanafungwa mara kwa mara.
Je Tanzania tutajifunza nini kutoka kwa hawa viongozi wanapofanya ziara hapa nchini.
Rais wa Uturuki alitembelea Tanzania na huyu kiongozi hataki upinzani nchini mwake wapinzani wengi wamefungwa na kwasasa ana mpango wa kubadilisha katiba ili atawale mpaka mwaka 2030.
Rais wa Rwanda alitembelea Tanzania na huyu kiongozi hakubali demokrasia ndani ya nchi yake wapinzani wengi wameuawa na wengine kufungwa.
Rais Museveni alitembekea Tanzania, ni kiongozi aliyetawala kimabavu kwa muda wa zaidi ya miaka 30 chaguzi zote zinazofanyika nchini humo yeye hutangazwa mshindi, wapinzani huwa wanafungwa mara kwa mara.
Je Tanzania tutajifunza nini kutoka kwa hawa viongozi wanapofanya ziara hapa nchini.