Recent content by ntilavano

  1. N

    Nimeamini Hayati Magufuli alikuwa ni mtu wa pekee sana kwa ubora

    Kwani yeye hakuchafua Legacy za wenzake tena ndio waliomuweka madarakani.
  2. N

    Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

    Shukran sana mkuu nadhani huu ni kama mchuzi tu kwenye mtori nyama ziko chini unaweza ku dig down kidogo inaonyesha unanifahamu vyema.
  3. N

    Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

    Me:H tareh 29 June 91 Ke:L tareh 22 December 95 Uhusiano:Bado hatujaoana
  4. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mawakala natumiaje mkuu nipe muongozo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. N

    Msaada:azam tv

    Nipo Zanzibar mkuu.
  6. N

    Msaada:azam tv

    Hapana maana kuna mda dish lili shake so nikajaribu kuliweka sawa lakini ndio yametokea hayo. Nijibu jwa kuni Quote.
  7. N

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    Nimefuatilia sana huu uzi wako kuna kitu nimekiona ndani yako hongera sana mwamba.[emoji106] [emoji106]
  8. N

    Msaada:azam tv

    Mkuu nikienda kwenye menu alafu search inakuja Auto search Tp list Satellite list Sasa bado sijakusoma hapo kwenye search signal.
  9. N

    Msaada:azam tv

    Wakuu natumaini mu wazima wa afya. Lengo la kuja hapa ni msaada wa namna ya kupata chanel za Azam TV maana wananiambia "NO PROGRAMME" hata nikiserch hakuna channel wala radio nayopata. Natanguliza shukurani.
  10. N

    Tunauza kuku wa kisasa wa nyama

    Habarini wanabodi kama mnavyojua hali ya maisha ilivyo tumeamua kujiajili. Tunafuga kuku wa nyama wa kisasa tupo Mbagala bei yetu ni tsh 6000 kwa mmoja. Karibuni
  11. N

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Naweza wasiliana na wewe mkuu maana na mimi nataka nijikite huko sasa.
  12. N

    Msaada wa kisheria kesi ya kupiga muharifu

    Shukrani sana mkuu na kwahiyo sanasana itatakiwa faini ya hiyo kesi au kuna kifungo hapo?
  13. N

    Msaada wa kisheria kesi ya kupiga muharifu

    Kweli kabisa mkuu kuwapata ni inshu huku hawapitagi sana.
Back
Top Bottom