Wakuu natumaini mu wazima wa afya.
Lengo la kuja hapa ni msaada wa namna ya kupata chanel za Azam TV maana wananiambia "NO PROGRAMME" hata nikiserch hakuna channel wala radio nayopata.
Natanguliza shukurani.
Habarini wanabodi kama mnavyojua hali ya maisha ilivyo tumeamua kujiajili.
Tunafuga kuku wa nyama wa kisasa tupo Mbagala bei yetu ni tsh 6000 kwa mmoja.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.